Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Pogba aangalie tabia zake. Zina icost team. Yes anakiwango kizuri lakin attitudesio kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Hana adabu de gea miaka na miaka anatakiwa real madrid lakin hajawahi kutia neno

Kuna kale ka kipa kalikuwa chelsea kila siku madrid tu saiv kanachoma mahindi


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Ila naona michezo ijayo Matic apumzishwe Scott apewe nafasi.

Tatizo mkuu sio matic shida ni herrera na pogba hawapo vizur hizi mech kama nne hiv


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Naungana na ww lukaku pia mzur mipira ya juu ni rahisi kubadili mtindo wa timu mkibanwa rashford si mzur juu bado mdogo ajifunze kwanza


Sent from my iPhone using Tapatalk
Rash sidhani km anaweza kaimprove zaidi ya hapo. Madogo wetu wale 3, sidhani km wanaweza kaimprove zaidi ya hapo waliopo Martial, Rash na Jesse

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rash sidhani km anaweza kaimprove zaidi ya hapo. Madogo wetu wale 3, sidhani km wanaweza kaimprove zaidi ya hapo waliopo Martial, Rash na Jesse

Sent using Jamii Forums mobile app

Rashford anaweza tena vizur ila sio lingard pale yupo mwisho jessey wakuuzia cardif yule hata wolves hapat namba

Sina wasiwasi na rashford kuna vitu anaonesha bado mdogo


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Tatizo mkuu sio matic shida ni herrera na pogba hawapo vizur hizi mech kama nne hiv


Sent from my iPhone using Tapatalk
MUFC wanachomfanyia Herrera sio kabisa.
Mimi nadhani tatizo la Herrera linatokea nje ya uwanja,haiwezekani mchezaji anaipenda timu na anasema wazi na amejituma kwa muda wote mkataba wake unamalizika timu ipo kimya tu. Lazima ajihisi vibaya.

Pogba nae naona Madrid kumemvuruga.
 
Rashford anaweza tena vizur ila sio lingard pale yupo mwisho jessey wakuuzia cardif yule hata wolves hapat namba

Sina wasiwasi na rashford kuna vitu anaonesha bado mdogo


Sent from my iPhone using Tapatalk
Mkuu, miaka 21 katika mpira bado tu ni mdogo? Mbona akina Ronaldo, Rooney, Messi katika miaka hiyo walikuwa na viwango vya juu? Dogo ndo mwisho wa kiwango chake hapo. Hakuna cha umri hapo.
 
Kuna kitu kinanishtua sana kwa huyu sosha,
Priority targets zake ni Sancho, Declan rice, Wan Bissaka, na Odoi wa chelsea nae anamtaka akimkosa sancho,
Hawa wote ni englishmen,
Halafu angalieni wachezaji waliokula mikataba fastaaaa pale OT, wote ni englishmen, Jones, smalling, Young, tena kwa kubembelezwa, akina herrera, mata, mikataba yao inaachwa ku-expire,
Something fishy is going on, nina wasiwasi anataka kutuletea uingereza, kama alivyofanya yule kocha wa liver wa kipindi kile aliekuja kabla ya brendan rodgers, kuwasajili waingereza tupu akina stewart downing, anawazoa tuuuu huko timu ndogo!! anawajaza liver, eti anadai englishmen wako more dedicated kuliko wageni,
Jamani!! Tumuangalie huyu sosha huyu,
Halafu nasikia ana sifa kuu ya ubahili, kama wenger, hata huko molde nasikia alikua aanarudisha hela za usajili, anasajili wa buku buku,
Jamani huyu sosha huyu,
Naomba nisiseme jambo kwanza!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Shaw on our yesterday's performance
Screenshot_2019-03-31-09-34-17.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jana hatukucheza vizuri aisee na Ukweli ni kwamba hatuku deserve kushinda ila huo ndo mpira sio kila siku utacheza vizuri cha msingi tumechukua point 3, maana sahv point 3 ndo kinacho matter hata ukicheza vizuri vipi ila usiposhinda haina maana bila point 3,tatizo nililoliona mm ni midfield haswa viungo wakabaji Matic naona muda wake kwendelea top level umeisha tunahitaji vijana ambao wako mobile, hawezi kurecover mipira vile inavyotakiwa bila kucheza foul za kijinga au kuishia kuangalia tu,hvyo kiungo chetu huishia kuonekana butu..na hakika mwalimu atakuwa ameona hilo.

pia mechi ijayo na Wolves kocha inabidi abadili formation lasivyo naona matokeao hayatokuwa mazuri inabidi nasitujaze midfield wengi kati kwa formation ya 3-4-1-2 au 3-4-3 ilikuweza kudorminate kiungo au kuzuia viungo wao wasicheze na kutengeneza nafasi zakutosha,na ingefaa sana kama Lukaku akiwa fit hyo mechi maana kwa physicality yake anaweza wasumbua mabeki wao sahv kila mechi lazima tuangalie kushinda tu bila hvyo top 4 tusahau
 
Mkuu, miaka 21 katika mpira bado tu ni mdogo? Mbona akina Ronaldo, Rooney, Messi katika miaka hiyo walikuwa na viwango vya juu? Dogo ndo mwisho wa kiwango chake hapo. Hakuna cha umri hapo.
1. Sidhani kama ni sahihi kuwalinganisha Mess na Ronaldo na hawa martial na rashford. Hizi ni dunia mbili tofauti. Na tatizo tunadhani rashford atakuwa Ronaldo.

2.Angalia kipindi Ronaldo na Rooney wanacheza ,walikuwa wanacheza na wakina nani? Midfield na backline.

Sent using simu mbovu
 
Back
Top Bottom