The Humble Dreamer
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 7,442
- 10,233
Goli gani lile...goli la kunganganiza kama nn
Naona kakujibu mkuu.
Naona kakujibu mkuu.
Damn.... To be satisfied kwa mwanadam ni mtihan aiseeTumepata goli LA pili, lakini siyo LA kufurahisha.
Kafunge la kideo basiGoli gani lile...goli la kunganganiza kama nn
Goli gani lile...goli la kunganganiza kama nn
SurelyBurnley 2 Wolves 0
Wanachojua hawa ni kukaza matako kwa big four tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Goli gani lile...goli la kunganganiza kama nn
Jumanne tunao. Mmeona Messi kapiga panenka free kickBurnley 2 Wolves 0
Wanachojua hawa ni kukaza matako kwa big four tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
aahahaaa! Ni timu yangu Mkuu, I satisfy only inapocheza vizuri. Goli lile la Martial halijanipa furaha japo nimeshangilia. Second 10 kabla ya goli Martial alikosea kabisa pia kwa refa katili angepuliza offside. Refa huyu kawa fair kwamba wachezaji wa Watford wote walikuwa nyuma ya mtoa cross (Jesse Lingard).
Inaiitaji kama wachezaji watano wanaweza kuibeba timu
Bila umakini tunaweza kugawana point.
Thats magic side of football mkuu... Unaeza cheza vzur na usipate matokeo piaaahahaaa! Ni timu yangu Mkuu, I satisfy only inapocheza vizuri. Goli lile la Martial halijanipa furaha japo nimeshangilia. Second 10 kabla ya goli Martial alikosea kabisa pia kwa refa katili angepuliza offside. Refa huyu kawa fair kwamba wachezaji wa Watford wote walikuwa nyuma ya mtoa cross (Jesse Lingard).
ile si offside wala si huruma ya refaaahahaaa! Ni timu yangu Mkuu, I satisfy only inapocheza vizuri. Goli lile la Martial halijanipa furaha japo nimeshangilia. Second 10 kabla ya goli Martial alikosea kabisa pia kwa refa katili angepuliza offside. Refa huyu kawa fair kwamba wachezaji wa Watford wote walikuwa nyuma ya mtoa cross (Jesse Lingard).