Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mkuu mbona unajisahaulisha makusudi!!
Mechi ya kwanza mlishinda 3-2 mechi ya marudiano mlifungwa 2-1, aggregate 4-4 kama ingekua mtoano ungetoka.

Hata tukiongea maneno yakaisha haiondoi ukweli kuwa EPL ni over rated wachezaji wengi ni below average.

Sent using Jamii Forums mobile app
hakuna ulazima wa mtu kuangalia EPL kama anaona league mbovu ziko Ligue 1, La liga mpaka Bundesliga sisi EPL ni league kivyake na CL ni mashindano mengine. Leo PSG akichukuwa ubingwa CL haitafanya France league kuwa bora ila team bora
 
Poleni watani ndo hali ya kimichezo

IMG_7167.JPG
 
Naiona Manchester bora ndani ya misimu miwili ijayo.... Naimani wote tumeumia na kufungwa ila ni moja ya matokeo ya soka.... tutafute director mzuri kwanza, tuuze Sanchez, Mata, Valencia, darmian tupate at least paund mil 70 Ed aongezee hapo paundi mil 300 naimani kwa paundi ml 370 mwakani tunakuwa contenders

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naiona Manchester bora ndani ya misimu miwili ijayo.... Naimani wote tumeumia na kufungwa ila ni moja ya matokeo ya soka.... tutafute director mzuri kwanza, tuuze Sanchez, Mata, Valencia, darmian tupate at least paund mil 70 Ed aongezee hapo paundi mil 300 naimani kwa paundi ml 370 mwakani tunakuwa contenders

Sent using Jamii Forums mobile app
Ongeza Lukaku, McTomminay, Young, Jones.

Waondoke na hawa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa hivi ukienda kwa fundi wa kitanda unamwambia akuchongee kitanda cha Simba kwa Chelsea hahahahahahaha.

Ni kweli kipigo cha goli sita kinauma sana lakini hatujatoka mahal popote.

Wewe uefa ndo ivo mashindano unayaaga..

Mupunguze sifa maana mulishusha hadhi ya PSG na kuona kila gemu mtashinda tu..

Kumfunga Fulham, Leicester kudraw na Barnley kuliwapa sana kakiburi.

NB: Kosa kubwa mtafanya ni kumpa timu uyo mmasai Ole..hahahahaha GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Hamkutoka mahali popote?

Ulitoka namba 4 mpaka 6, na bado unachukulia poa!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom