Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

wachezaji wengi wa utd hawako comfortable na mpira,pass zinapotea hovyo na muunganiko kati ya viungo na washambuliaji hauonekani. Kwa muono wangu plan A imeshindikana maana hata kutengeneza nafasi za maana kipindi chote cha kwanza imekuwa shughuli. PSG wanacheza kama vile wao ndio wenyeji wetu.
GGMU
 
Back
Top Bottom