joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 18,860
- 39,616
Haya kaka hatimaye turubai limefungwa,shughuli imeisha mmebakiwa FA na kupigania top 4.
Hahahah nilikuwa napanga mikakati namna ya kukapigiza haka ka timuuKaka naona umefufuka au walikuteka.
Hata simba haikufungwa sita bila uarabuni. Nyie itakua viwete si bure.
Sio saa sita na dakika mbili mku?
Nilitabiri utafufuka.
Pole kwa kipigo cha paka mwizi.
FA hawapo pia hujui anakutana na nani?Haya kaka hatimaye turubai limefungwa,shughuli imeisha mmebakiwa FA na kupigania top 4.
Ni kweli kabisa. Yani hapa ni hakuna namna tumeshapapaswa nyumbani. Et least ingekua 1-2 ila 0-2 ni tiketi ya asante kwa kushiriki, kwa maana sidhani kama tutashinda 3-0 ufaransa.Haya kaka hatimaye turubai limefungwa,shughuli imeisha mmebakiwa FA na kupigania top 4.
Hahahaha mzeee babaa kesho inaweza jirudia hii apo Anfield hahahahahahaNitarudi ngoja niweke seat ya mbele kabisa
Zile sita vp mkuu
Wewe nakusubiri apo tarehe 25 nikurudishie goli zako sita...ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha
cityzen chairman am here
Kwa upande wangu kutolewa UEFA poa tuu, ili tupambane na top four, maana hatuna kikosi cha kushiriki michuano yote hiyo.Ukweli mchungu CL tumeshaonfoka OGS ajipange na league na FA
Mkuu nyie mlisema mutashinda gemu zote za mwezi huu.
Timu yetu inahitaji uwekezaji wa maana.