Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Aliyefanya hivi Mungu anakuona
1550043524765.jpg
 
Mbappe soon tu anaweza akatua apo Stamford ..lolote laweza kutokeaa..

Acha tufurahi kwanza kwa hisani yake..

GGMU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu una ndoto za mchana kweli, Mbape aende Chelsea, wakati akina Hazard wanaikimbia timu ndogo hiyo

Ninakubaliana na wewe, huu ndio muda wako wa kufurahi maana kuanzia tarehe 18 mpaka February inaisha itakuwa ni kilio tu kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu una ndoto za mchana kweli, Mbape aende Chelsea, wakati akina Hazard wanaikimbia timu ndogo hiyo

Ninakubaliana na wewe, huu ndio muda wako wa kufurahi maana kuanzia tarehe 18 mpaka February inaisha itakuwa ni kilio tu kwako

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha wewe kunifunga mimi labda Mou arudi..lakini uyo Ole atakuwa na kibarua kigumu sana..

Maana katika gemu mbili ambazo tutakutana ..wewe hutoshinda gemu hata moja..

Sana sana utaambulia draw tuu..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio overated, wewe ndio umekosa something hapa. PSG ni timu kubwa hata kama ingekuwa inacheza EPL. Tofauti ya EPL na Ligue one ni kwamba Ligue one ina PSG tu wakati EPL in THE BIG 6, The big six kwa maana ya kiwango cha mpira na utajiri.
Turudi kwa MU, angekuwa MOU yupo angekuwa na plan B, kwa Ole Gunar sidhani kama ana plan B au ana uwezo wa kuwa tactical kwenye mazingira kama haya Zaidi ya kuwategemea Pogba (ambaye hatakuwepo) na Rashford.
Morinho anayewashindwa Wolves au West Ham?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua sijawahi kuelewa ni nini kimempata sanchez...hana mchango wowote wa maana kwenye timu..hili dili tulipoteza,tutafute tu replacement za maana..

United Fan
Jana nimewaza ni bora hata kwenda kumchukua tahit chong kule chini tujue tunakuza kipaji hata kukokota hawezi hiu buashara ilikuwa hovyo sana ujue mourinho alikuwa anablok sajili za pep kama ilivyo kwa fred
 
Mbappe soon tu anaweza akatua apo Stamford ..lolote laweza kutokeaa..

Acha tufurahi kwanza kwa hisani yake..

GGMU..

Sent using Jamii Forums mobile app
Bei yake si gharama nzima ya club cha chelsea na pesa za mwenyetimu ukijumlisha ina maana kiuzwe chelsea anunuliwe mbape

Mzee utani

Ila ki ukweli mbape yupo vizur sana anasifa zote za ustriker au wing

Rashford kaachwa mbali sana
 
Disappointing UCL night

Kama OGS alivyosema, game ya jana ni REALITY CHECK. Imetupa fursa ya kujua timu yetu kiuwezo ipo wapi tunapokutana na wakubwa wenzetu.

Kumfunga Arsenal au Chelsea kunatupotosha kuufahamu uwezo wetu halisi

Hizi mechi pia ni reality check kwa OGS, kuona kama kocha anaweza kutufikisha wapi

Ukweli ni kwamba Ed alipoamua kutosajili January nilijua kuwa kwa mwaka huu hatuna mpango wa kufika mbali kwenye hii michuano ya UCL

Alexis anazidi ku prove kwamba yupo kwenye wrong club au United ilisajili wrong player. Jambo chungu kuhusu ndoa ya United na Alexis ni kwamba ni ngumu sana kutenganishwa. Ni timu gani inayoweza kumsajili Sanchezi na kumlipa £475K kwa wiki? TUENDELEE KUVUMILIANA SISI NA ALEXIS WETU.

Back to the core. Jose had a point, mashabiki pia tumekuwa sahihi, we have to spend on players. We have to remove passengers players.

Mechi ya jana Wachezaji waliofanya jambo/mambo linalokumbukika

Matic (Outstanding)
Herera (Average)
Pogba (Good)
Lingard (Good)
Degea (Good)

Waliokuwa na bad game Rash na Martial,

Bado naamini Lukaku ni muhimu kwenye timu yetu, kumuamini Rash kuongoza timu ni too risk

Kuelekea game ijayo (second leg)

Kuwa nyuma kwa goli 2 ugenini kumetuweka pagumu mno

Pogba kutocheza, haitatusaidia kabisa

But in champion League anything can happen

When its Manchester United, anything can happen

Coments za wasiojua mpira

Hawaelewi kuwa mpira ni dynamic sana. Wanasema angekuwepo Neymar au Cavani mambo kwa United yangekuwa magumu sana

U never know. Mfano jana PSG wamecheza direct football sana, na mpira wa direct ndio unamuwezesha Mbape ku shine.

Pengine. Narudia tena, PENGINE angekuwepo Neymar na mbwembwe zake angechelewesha mashambulizi na matokeo yasingekuwa vile.

Kwa sasa inatosha





Sent using Jamii Forums mobile app
Jana baada ya kutoka lingard nilitegemea kumuona lukaku akiingia sio mata kwa gem ya jana kwa upande wangu naona kocha alichemka hapa
 
Naiona Manchester bora ndani ya misimu miwili ijayo.... Naimani wote tumeumia na kufungwa ila ni moja ya matokeo ya soka.... tutafute director mzuri kwanza, tuuze Sanchez, Mata, Valencia, darmian tupate at least paund mil 70 Ed aongezee hapo paundi mil 300 naimani kwa paundi ml 370 mwakani tunakuwa contenders

Sent using Jamii Forums mobile app
Tanayzer ,labda unazizungumzia paundi millioni 370 za mugabe na mtoaji ni muarabu mwenye dhumuni halisi la kujenga timu ya ushindani kwa muda mfupi, fikiria kama chini ya utawala wa jose mourinho na louis van gaal matumizi yetu kwa miaka 3 ni wastani wa paundi millioni 300 kwa kila mmoja hivi unadhani itawezekana kwa matajiri wale kutoa hela hiyo kwa msimu mmoja?
tusubiri tuone kwa atakayebahatika kuwa hai.​

ishu nyengine tatizo si matumizi makubwa bali ni kupata wachezaji ambao watatutoa hapa tulipokwama na kutusogeza mbele kwa msimu mmoja tu pindi watakaposajiliwa, mbona timu kama napoli, tottenham wametumia hela ya kawaida na wamefanikiwa kupata wachezaji wanaoendana na soka la karne hii?
tumelipa paundi millioni 50 kwa fred ametupeleka wapi?
tumefanya swap deal kwa alex sanchez ametupeleka wapi?​

pia timu yetu tuna ukosefu wa football intelligence players na ndipo tatizo jengine linapoanzia, ukimuondoa paul pogba, ander herrera na nemanja matic sioni mchezaji mwengine mwenye jicho la tatu la mpira, timu kama manchester city kila msimu wanawaongezea wachezaji hawa lakini sisi tumekuwa kimya na nashindwa kuelewa kwa nini tumekuwa wapofu kwenye soko la usajili.
Leo hii mpira akiumiliki ashley young, lingard, rashford na wengineo kwa kiasi kikubwa sana unajua tukio gani anakwenda kulifanya tofauti na wachezaji kama david silva, kelvin de bruyne, silva, sane, aguero, gundogan n.ka
 
Tanayzer ,labda unazizungumzia paundi millioni 370 za mugabe na mtoaji ni muarabu mwenye dhumuni halisi la kujenga timu ya ushindani kwa muda mfupi, fikiria kama chini ya utawala wa jose mourinho na louis van gaal matumizi yetu kwa miaka 3 ni wastani wa paundi millioni 300 kwa kila mmoja hivi unadhani itawezekana kwa matajiri wale kutoa hela hiyo kwa msimu mmoja?
tusubiri tuone kwa atakayebahatika kuwa hai.​

ishu nyengine tatizo si matumizi makubwa bali ni kupata wachezaji ambao watatutoa hapa tulipokwama na kutusogeza mbele kwa msimu mmoja tu pindi watakaposajiliwa, mbona timu kama napoli, tottenham wametumia hela ya kawaida na wamefanikiwa kupata wachezaji wanaoendana na soka la karne hii?
tumelipa paundi millioni 50 kwa fred ametupeleka wapi?
tumefanya swap deal kwa alex sanchez ametupeleka wapi?​

pia timu yetu tuna ukosefu wa football intelligence players na ndipo tatizo jengine linapoanzia, ukimuondoa paul pogba, ander herrera na nemanja matic sioni mchezaji mwengine mwenye jicho la tatu la mpira, timu kama manchester city kila msimu wanawaongezea wachezaji hawa lakini sisi tumekuwa kimya na nashindwa kuelewa kwa nini tumekuwa wapofu kwenye soko la usajili.
Leo hii mpira akiumiliki ashley young, lingard, rashford na wengineo kwa kiasi kikubwa sana unajua tukio gani anakwenda kulifanya tofauti na wachezaji kama david silva, kelvin de bruyne, silva, sane, aguero, gundogan n.ka
Tatizo kubwa ninaloliona team inasajili wachezaji bila kuangalia kama wanafita kwenye timu. Ili mradi mchezaji ana Jina basi wanachukua.hii ni hatari.

Sent using simu mbovu
 
Unajua sijawahi kuelewa ni nini kimempata sanchez...hana mchango wowote wa maana kwenye timu..hili dili tulipoteza,tutafute tu replacement za maana..

United Fan
Mourinho aliwasajili Fred na Sanchez ili kuibania Man City,kumbuka Pep alikua anataka kumsajili Fred ili aje kumpunguzia majukumu Fernandinho na Sanchez alikua asajiliwe ili kuziba pengo la Sane alipopata majeruhi..!
Mourinho akaona haiwezekani Guardiola awasajili hao wachezaji,akaamua kutia fitna..!
Kinachotokea ni matokeo ya kusajili mchezaji ambaye haumuhitaji..!
 
Back
Top Bottom