Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni sana majirani,ndio mpira ulivyo,sometimes tegemea matokeo usiyoyatarajia..!
Wachezaji walioiua kabisa Man Utd jana ni Marquinhos,Veratti na Mbappe..!
Sikua najua kama huyu Marquinhos anaweza kuwa kiungo mkabaji wa kutisha namna hii,amemfanya Pogba kuwa mchezaji wa kawaida kabisa usiku wa kuamkia jumatano..!
Huyu Mbappe huyu,hata sielewi niseme nini juu yake,nadhani waliokuwa Old Trafford watakua na maneno sahihi kuhusu huyu bwana mdogo,lakini nafikiri kuna "uchawi" anavaa miguuni,pace aliyokuwa nayo sio ya kawaida..!
Veratti,haka Kaitaliano ni kashenzi sana,kaliifanya Old Trafford kuwa uwanja wake wa nyumbani..!
Game ya marudiano mtakuwa bila Pogba uwanjani,mmmmh wish you all the best majirani..!
Ooh,nimesahau kumuongelea Sanchez, lakini haina haja..!
 
Poleni sana majirani,ndio mpira ulivyo,sometimes tegemea matokeo usiyoyatarajia..!
Wachezaji walioiua kabisa Man Utd jana ni Marquinhos,Veratti na Mbappe..!
Sikua najua kama huyu Marquinhos anaweza kuwa kiungo mkabaji wa kutisha namna hii,amemfanya Pogba kuwa mchezaji wa kawaida kabisa usiku wa kuamkia jumatano..!
Huyu Mbappe huyu,hata sielewi niseme nini juu yake,nadhani waliokuwa Old Trafford watakua na maneno sahihi kuhusu huyu bwana mdogo,lakini nafikiri kuna "uchawi" anavaa miguuni,pace aliyokuwa nayo sio ya kawaida..!
Veratti,haka Kaitaliano ni kashenzi sana,kaliifanya Old Trafford kuwa uwanja wake wa nyumbani..!
Game ya marudiano mtakuwa bila Pogba uwanjani,mmmmh wish you all the best majirani..!
Ooh,nimesahau kumuongelea Sanchez, lakini haina haja..!
This is ucl... Ligi ya wachache
IMG_20190213_060218.jpeg
 
Poleni wapenzi wa United, kiukweli EPL ipo over rated sana wachezaji wengi ni below average.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio ujuwe ubora wa Liver dhidi ya Man u, wale tuliwapiga 3 full squad na tuliwakimbiza katika moja ya mechi bora CL mwaka huu, poleni watani ila ni ukweli tu wachezaji wengi sio wazuri hata EPL tu mko nyuma sana ya top 6
 
Hakuna watu wanaonifurahishaga kama hawa Manure. Yan wanaonaga wao ndio wana world class players. Wakiwa uwanja ni kama vile ni heaven kumbe kama banda la kuku tu wanajipigia watakavyo.

Watajifariji wapo FA na wanakuja darajani. Mi nawasubiri
walijua wanacheza na fulham..

Story za walevi bwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom