Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,481
- 27,185
Muda bado upo
Hakuna watu wanaonifurajisha kama ChelsixHakuna watu wanaonifurahishaga kama hawa Manure. Yan wanaonaga wao ndio wana world class players. Wakiwa uwanja ni kama vile ni heaven kumbe kama banda la kuku tu wanajipigia watakavyo.
Watajifariji wapo FA na wanakuja darajani. Mi nawasubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Omba uridishwe kwenye reli na Higuan mkuu, kwani mna unasaba wowote na Mbape
Naiona Manchester bora ndani ya misimu miwili ijayo.... Naimani wote tumeumia na kufungwa ila ni moja ya matokeo ya soka.... tutafute director mzuri kwanza, tuuze Sanchez, Mata, Valencia, darmian tupate at least paund mil 70 Ed aongezee hapo paundi mil 300 naimani kwa paundi ml 370 mwakani tunakuwa contenders
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha eti ole guna soksi-iliyojaa hahaha mkuu acha kuharibu jina la mmasai wa watu. Mamorani wako apa watakuamshia...
Sent using Jamii Forums mobile app
Degea tetema... Ndio nimetetema
Martial tetema.. Nilishatetema
Na wewe Young tetema,,, nimetetema zaidi
Nawe Bailey tetema,,,, huoni nimetetema..
Nawewe Ole Gunner tetema.. P. S. G ilishatetema
Can't hide my happiness, Man u walitetemwaView attachment 1021081
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani We ndio una timu ya kuwadindia wale jamaashot on target 1,vijana wa ole guna soksi-iliyojaa
sasa nyinyi ndugu zetu mnaweza nini asee?
aksante psg kwa kutukatia kilomo lomo cha jirani
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu di maria alitumia Man u kwenda PSG, kifungo kilivyokwisha akaondka, jinsi gani timu yangu ilivyokuwa ya kijinga
Kwani uongo ligi yao ni ya wakulimaAhahaaaah...
Watu huwa tunaiita Ligi ya Ufaransa farmers League..!
Naona jana wawakilishi wa wakulima wakasema ngoja tuwaoneshe ukulima wetu..!
Sawa..!Kwani uongo ligi yao ni ya wakulima
Only marseille ndio alichukua uefa hao wengine wote wasindikizaji
Sent using Jamii Forums mobile app
We chalii mzee wa kujiteka


Sio overated, wewe ndio umekosa something hapa. PSG ni timu kubwa hata kama ingekuwa inacheza EPL. Tofauti ya EPL na Ligue one ni kwamba Ligue one ina PSG tu wakati EPL in THE BIG 6, The big six kwa maana ya kiwango cha mpira na utajiri.Mkuu mbona unajisahaulisha makusudi!!
Mechi ya kwanza mlishinda 3-2 mechi ya marudiano mlifungwa 2-1, aggregate 4-4 kama ingekua mtoano ungetoka.
Hata tukiongea maneno yakaisha haiondoi ukweli kuwa EPL ni over rated wachezaji wengi ni below average.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa we unaona uwezo hatunaHakuna watu wanaonifurajisha kama Chelsix
Hata wakipigwa 6 - 0 huwa wanaamini ilitokea bahati mbaya, ila uwezo wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha unafungwa na timu ambayo haijakamilika wakati wewe umekamilika kila kitu..Mikakati yako tutaona majibu yake tarehe 18
Hii ya jana haikuhusu mkuu
By the way tunashukuru u mzima maana ile nusu dazani halafu ukapotea, ilitustua sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sijawahi kuelewa ni nini kimempata sanchez...hana mchango wowote wa maana kwenye timu..hili dili tulipoteza,tutafute tu replacement za maana..Nasema hata Martial awe kwenye kiwango kibovu ni bora akaanza anaweza kufanya kitu kuliko Sanchez jamaa ni ameisha tuache utani. Na timu sio mbaya kihivyo jamaa ni wazoefu first half game ilikua poa tu second ndo tulipotea kidogo.
Kuuza watu zaidi ya sita pale haikwepeki kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli ya kijinga timu yako.Huyu di maria alitumia Man u kwenda PSG, kifungo kilivyokwisha akaondka, jinsi gani timu yangu ilivyokuwa ya kijinga
Sent using simu mbovu