Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Tunawatundika nyingi tuHakuna watu wanaonifurahishaga kama hawa Manure. Yan wanaonaga wao ndio wana world class players. Wakiwa uwanja ni kama vile ni heaven kumbe kama banda la kuku tu wanajipigia watakavyo.
Watajifariji wapo FA na wanakuja darajani. Mi nawasubiri
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app


