Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Imebust mkuu maana zile dakika 6 zimeokoa watu
Wewe umesahau msimu ulopita nilikupiga game mbili muhimu EPL na FA; msimu wa kwanza wa Conte nilikupiga game mbili muhimu EPL na FA.

Sasa msimu huu umepata draw unachanganyikiwa kabisa. Unajiaminisha kabisa kwàmba una timu
 
Kama huyu Ollachuga Oc ndo kabisa baada ya kutoa suluh na liverpool anaamini timu yake ni bora kuishinda liverpool nimemwambia unajiamini na timu ya mtu mmoja hazard? Ona sasa dikika 6 zimeokoa maisha yao
Umeshindwaje kuifunga sasa?

Maana bila Hazard inafungika.
 
Sawa tutakuja.

Bado mmekariri mpira wa ugenini na nyumbani.
Sio kukariri

Mkija OT lazima mtakaa tuu

Wewe hutambui home advantage wakati FIFA, UEFA na CAF wote wanaizingatia kwenye mashindano wanayoyaandaa wao

Kama huamini timu yako kwenye robo fainali ya Europa itoe draw ya 1-1 nyumbani, halafu iende kutoa draw ya 0-0 ugenini uone nini kitatokea
 
Sio kukariri

Mkija OT lazima mtakaa tuu

Wewe hutambui home advantage wakati FIFA, UEFA na CAF wote wanaizingatia kwenye mashindano wanayoyaandaa wao

Kama huamini timu yako kwenye robo fainali ya Europa itoe draw ya 1-1 nyumbani, halafu iende kutoa draw ya 0-0 ugenini uone nini kitatokea
Nyie mmekariri kwamba OT lazima mtashinda. Yule mwingine anajipa uhakika wa 100%
 
Nyie mmekariri kwamba OT lazima mtashinda. Yule mwingine anajipa uhakika wa 100%
Huna timu ya kutoa suluhu old traford ww level yako ni arsenal tu nae sijui kama utamuweza kwake kwako tu alitaka kukufumua toka mwanzo nilikwambia usiiamin timu yako haijafikia level ya soka la city na liverpoo ukishinda ni bahat tu
 
Mimi nikisoma tambo zako kabla ya game nacheka vibaya mno mkuu.
Kajamaa kaliwasumbua sana liverpool baada ya kubahatisha ushindi wa fa na suluhu ya lig kwao basi akajua wana bonge la timu nilimuonya nyie kisoka bado sana sasa jana kwao wanaomba hata droo itokeee hahahahaha chelsea bana
 
Man united Mnachekesha sana
Kwa hiyo Baada ya kupata point 1 mlioipigania kwa UDI na uvumba ndio kumewapa sababu kuwa chelsea ni ya kawaida msimu huu
Lakini sishangai maana msimu ulianza huku top 4 zikitajwa kabisa na chelsea hata haikuwekwa kabisa ikionekana ni team isiyoweza kuingia hata top 4
 
Back
Top Bottom