DonDonald
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,542
- 2,741
Kuna watu wanampondaga sana huyu jamaa,ila mimi ninamkubali sana
Hao watu watakuwa na matatizo
Kuna watu wanampondaga sana huyu jamaa,ila mimi ninamkubali sana
Kama huyu Ollachuga Oc ndo kabisa baada ya kutoa suluh na liverpool anaamini timu yake ni bora kuishinda liverpool nimemwambia unajiamini na timu ya mtu mmoja hazard? Ona sasa dikika 6 zimeokoa maisha yaotatizo vijana wanaongelea mihemko
Mike dean katuua makusudiForever Red
Tomorrow is just Another game
Kabsa mkuuuwe are still united no matter what.
kwa game ya leo mou kanifurahisha maana hatukukaa chini kwa kipindi chote na wachezaji walikokota mipira kuivusha katikati na sio kubutua. washambuliaji wetu wametumia nafasi chache kufunga bao mbili,na mata bado anathibitisha yeye ndio mtu sahihi kuwepo namba 10 na wala si lingard.
Gracias united.
Roho imeniuma sana kumtoa martial akipata kocha wa kumtumia huyu kijana ni shida pamoja na kwamba nampenda na kumsapot mourinho kwa hili la martial namdharau sana
Wetu hawa nnauhakika nao 100%Chelsea mkija OT kifo Tu
KabisaUsiangalie takwimu angalia nani amesawazisha...
Imeniima Sana hi japo mkeka nimepata ila sikuwa tayari droo nao hawa. Nilibet first half under 1.5Duh wamechomoa
Huyu akipatwa na kocha kama Unai ndio mtamuona makali yake.Roho imeniuma sana kumtoa martial akipata kocha wa kumtumia huyu kijana ni shida pamoja na kwamba nampenda na kumsapot mourinho kwa hili la martial namdharau sana
Zizou ,klopp na pepHuyu akipatwa na kocha kama Unai ndio mtamuona makali yake.
Alipita mbele yake akishangilia balaa
Ona huu utoto wa chelseaBora Romero alimzuia maana kifua cha sigara na ngumi havina urafiki.
Ila siyo mbaya nilichokiona beki zilijua ushindi TayariAlipoanza kumtoa mata nikajua tu kuna tatizo toa lukaku ingiza sanchez rashford aingie katakati takwimu hazimbebi lukaku darajani katoa mata anaanza kujaza viungo wakabaji sijui wa nini wakat wacheza kipind cha pili chelsea tulishawapoteza
Akili za mvuta sigara hazina tofauti na chizi