radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Ipi hivi mkuu naona lukaku kuna mech anatakiwa kupumzishwa basi rashford atumbukie kama namba 9 ili kumpa nafasi sanchez au fred sioni kama sanchez anatakiwa kuanza bado kiwango chake kipo chini sana martiak kawa bora mno hadi mourunho kuna muda alimfuata na kuongea nae walifurahi sana naona martila nae karud kama shawMata akiwa anatoka nafasi yake aijaze Fred. Hawa vijana wapo sharp. Lukaku awe anafanyiwa sub au Rash acheze Centre Foward alafu mbawa moja acheze Perreira. Lukaku fomu imegoma japo mwili wake ni mtaji