Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Anthony martial kumuonesha sariball jinsi magoli yanavyofungwa kwa mguu

Goli la martial la pili wakuuu very classic yani foward mwenye akili ndo anavyofunga vile.
Magoli ya martial yamemvua Pichu lukaku....

Martial ndiyo striker pekee OT nafasi yalukaku ingemfaa Sana Sana dogo ama Msomali au Sanchez

I’m not sure if he works hard enough but he’s still a young man who has done well and scored a lot of goals. He’s quick and strong, but Lukaku is one of many United players who look like they’re short of confidence.
“I don’t think he realises how good he can be, but he needs help because who else can play centre-forward at United now?”
 
Sipendi tukose champion league mkuu..naona mouth out ifanye kazi... January anunuliwe tu beki wa Kati wa timu ambayo haishiriki champion league.....ili tuimarishe ulinzi.... Mouth awaache wachezaji wacheze wenyewe
Mimi kama mmoja wa vijana wa Mouth out nimefurahishwa mno na kipindi cha pili, tumecheza vizuri sana...... sasa kilichobaki kupanda nafasi maana nimeona Ed hata tucheze vizuri ananuna means anamtafutia Mou sababu tu....tusipomaliza ligi kwenye top 5 basi naamini Ed atamtoa.... Ila big game amazing Playing
 
Sipendi tukose champion league mkuu..naona mouth out ifanye kazi... January anunuliwe tu beki wa Kati wa timu ambayo haishiriki champion league.....ili tuimarishe ulinzi.... Mouth awaache wachezaji wacheze wenyewe
Tunahitaji pia Centre foward, Winger na namba 2. Lakini tuanze warau na beki wawili, wa kati na kulia. Ashley na Valencia kidogo umri unasogea.
 
Magoli ya martial yamemvua Pichu lukaku....

Martial ndiyo striker pekee OT nafasi yalukaku ingemfaa Sana Sana dogo ama Msomali au Sanchez
Yaani mimi, huwa namfananisha LUKAKU na BASHITE. Hata achemke vipi, kwa MOURINHO huwa haoni wala hasikii. Mechi nyingi tu, huwa anacheza hovyo, cha ajabu hawezi kumtoa, hata kama zimebaki dk tano. Matokeo yake, timu inacheza kama vile wachezaji wapo pungufu!
 
Kuna mpuuzi mmoja leo kidogo mourinho amng'oe jino yale uwanjani...shenzi zake yule mpuuzi
Yaani mimi, huwa namfananisha LUKAKU na BASHITE. Hata achemke vipi, kwa MOURINHO huwa haoni wala hasikii. Mechi nyingi tu, huwa anacheza hovyo, cha ajabu hawezi kumtoa, hata kama zimebaki dk tano. Matokeo yake, timu inacheza kama vile wachezaji wapo pungufu!
Inamaana Monyo anampumulia Lukalu
 
Nilianzana kuwa mpenzi wa man utd tangia enzi za akina Mark Hughes guess nimekula chumvi..lkn nashangaa ile mentality yet kufunga injury time haipo...nitamfagilia kocha yyt atakae irejesha ile
 
Tafuta hoja za maana.

Wasting our time reading useless comments.
Good, Cleaver answer, hawana maana Hawa ndio mashabiki Njaa....wanashindwaga hata kui value utd....man ni ya nane bado inauza inajaza uwanja, TV station zinauza hawaoni....ushabiki bwana
 
Web alitupa champions league na world cup ngazi ya vilabu hahaha mbaazi zikikosa maua husingizia jua

England ni manchester united pekee katwaa kikombe cha dunia ngazi ya vilabu kama una timu kilaza hubebi siju hizo mech web alikuwepo?
Chukueni na leo sasa kama mnaweza...😂😂😂... Nafasi zenu ni za saba huko, sasa hiv chamipions league mnaenda ku report mnarudi
 
Ego, arrogant and success

Ndio vinafanya anachukiwa
Kweli mkuu lakin mimi nachukulia kama tabia za kawaida tu ambazo pia kuna binadamu wanazo na tunaishi nao poa tu

Kwa wanaomchukia kuhusu mafanikio yake wanakosea sana.

#TEAMMOU
 
Man you ilikufa toka watu wawili waondoke. Wakwanza ni fergie. Alijua jinsi ya kumanage wachezaji hata waliokuwa na kiwango kidogo na kuwafanya wapeform.
Wa pili ni david gill, au director wa usajili.. huyu bwana ndie alikuwa akileta vipaji man u, huyu bwana ndio alimuona christian ronaldo na kumleta man u. Na vipaji vingine.

Hakuwahi kumuangusha fergie ktk usajili.


Man u ya sasa inakosa kocha, na nafasi ya mtu mwenye jicho la vipaji. kwa sasa yuko bwana mmoja anaitwa ed ambae ananunua magarasa ndio maana man u hai perform.

Kiufupi man u wameshindwa kupata mbadala wa hawa watu.
Wakat anamnunua pogba palikua hapatoshi humu, mara oooh the best in Epl mara ooh anakuja kuchukua mpaka Ballon d'o saiz amekua garasa tena
 
Leo Lukaku mnamwita garasa 😂😂😂

Msimu jana alifunga game kadhaa mfululizo basi hapakutosha humu, leo kama gunia la mkaa
 
Back
Top Bottom