Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Nilichojifunza mechi ya leo

Nemanja Matic amechoka sana mara baada ya kutumika kwa muda mrefu hivyo ni wakati wa kumpa nafasi na Carrick.

Ashley Young apumzishwe na nafasi yake apewe Luke Shaw natural left back.

Chris Smalling anachezaje wakati mtu kama Marcos Rojo mzima

Man Utd chini ya Jose bado tupo maili nyingi sana kuufikia ubingwa wa EPL.
Huwa nikiongea hii kauli kuna wafia team humu Wananitukana siku nzima
 
Ni huko Instagram kwenye page ya Manchester united
 

Attachments

  • 1517456555745.png
    1517456555745.png
    11.6 KB · Views: 42
Huyo kocha fala sana nilifatilia pia alichokihoji Scholes, na aliongea pointi tupu. Moja vitu alivyohoji ni hivi ''ukimwangalia pogba anavyocheza si matarajio ya wengi, yuko wapi pogba Wa Juventus? Yuko wapi pogba aliyekuwa anapatikana uwanja mzima? Yuko wapi pogba aliyekuwa anatoa pasi za mwisho na kufunga magoli umbali Wa mita 25? Yuko wapi pogba aliyekuwa anapangua ngome za wapinzani? Huyu pogba Wa sasa angalau angecheza hata nusu tu ya yule Wa Juventus''. Sioni alichokosea scholes na Mournho asitafute huruma kwa watu kwa kukosoa vitu vya msingi kutoka kwa watu wenye uchungu na hii timu manake wanaumia sana wanapoona vijana walonunuliwa kwa bei ghali hawapo tayari kufia timu wakati timu IPO ktk hali isiyoridhisha.
Tunafukua makaburi
 
Tunafukua makaburi
Asante sana ndugu kwa kulikumbuka hili. Inaumiza mno ukiangalia Pogba ana shine sana akicheza na timu ndogo,hizi kubwa nyingi hawezi. Na ndo matatizo yanapoanzia kwa timu kwa sababu yeye ndio roho ya timu na akizingua yeye ndio chanzo cha kwanza kwa timu kufanya hovyo. Angalau Jana mtetezi wake kaliona hilo na hakutaka kulifumbia macho

Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
Siku hiz hata sipotez muda wng kuangalia manchester united, nimeshajua Morinho kaishiwa na hana jipya, hata kama ataletewa messi, ronaldo, neymar, mbape na kila aina ya star, hakuna kitakachobadilika
Zama zake zimeisha na hana mbinu yyte ya kututoa tulipo.
Poleni mashabiki wenzangu, endeleeni kuinga mkono timu yetu lkn bora mujiandae kisaijolojia ili isije ikawaletea madhara, nawatakia ushabiki mwema
Leo nafukua makaburi ya mashabiki wa team hii wenye uwezo Mkubwa wa kufikiri
 
Niliandika hii mwaka Jana December, Ndio msimamo na maoni yangu mpaka sasa.


Nilitukanwa sana na wanaojiita "Die Hard Fans" wanaotulazimisha nyekundu tuseme ni nyeupe.

GGMU
 

Attachments

  • 1517458858820.png
    1517458858820.png
    12.7 KB · Views: 37
Asante sana ndugu kwa kulikumbuka hili. Inaumiza mno ukiangalia Pogba ana shine sana akicheza na timu ndogo,hizi kubwa nyingi hawezi. Na ndo matatizo yanapoanzia kwa timu kwa sababu yeye ndio roho ya timu na akizingua yeye ndio chanzo cha kwanza kwa timu kufanya hovyo. Angalau Jana mtetezi wake kaliona hilo na hakutaka kulifumbia macho

Sent from my Infinix NOTE 3 Pro using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom