Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Lile jukwaa lina stress sana unaweza jikuta unatuka mtu ukaishia kulamba ban! nimepigwa ban karibu mara tatu na zote nimezitolea huko!
Kweli kabisa.
Lile jukwaa lina stress sana unaweza jikuta unatuka mtu ukaishia kulamba ban! nimepigwa ban karibu mara tatu na zote nimezitolea huko!
Huyo kocha fala sana nilifatilia pia alichokihoji Scholes, na aliongea pointi tupu. Moja vitu alivyohoji ni hivi ''ukimwangalia pogba anavyocheza si matarajio ya wengi, yuko wapi pogba Wa Juventus? Yuko wapi pogba aliyekuwa anapatikana uwanja mzima? Yuko wapi pogba aliyekuwa anatoa pasi za mwisho na kufunga magoli umbali Wa mita 25? Yuko wapi pogba aliyekuwa anapangua ngome za wapinzani? Huyu pogba Wa sasa angalau angecheza hata nusu tu ya yule Wa Juventus''. Sioni alichokosea scholes na Mournho asitafute huruma kwa watu kwa kukosoa vitu vya msingi kutoka kwa watu wenye uchungu na hii timu manake wanaumia sana wanapoona vijana walonunuliwa kwa bei ghali hawapo tayari kufia timu wakati timu IPO ktk hali isiyoridhisha.
Nan mgeni hapa....????
Nani kakwambia kina Cole na York hawaikosoi timu au kuisifia inapofanya vema? Unadhani scholes hajawahi kuisifia timu inapofanya vema? Pengine uchungu anaoupata Paul si kama Wa York,ole gunar na Cole kwa sababu wale ni foreigners wakati yeye ni mzawa aliyekulia palepale,Beckham anaipenda sana Man U ila hajajikita ktk uchambuzi. Ukitaka kujua scholes ana uzalendo na hii klabu soma hyo chini na kama unaipenda man u utaguswa na hicho alichokijibu Paul ukihusisha na malalamishi yake. Ni nadra sana kwa mchezaji kusema hicho kitu tena kwa klabu kubwa kama inter. Jamaa anakosoa kwa uchungu na timu wala si wivu kama Mourinho anavyowahadaa.wanaongea sana nao kwani beckham,cole,yorke na wakina soskjier hawaipend timu? kamnyoosha sana scholes muda wote kuwaponda tu wachezaj na kocha hata van gaal kuna muda walimpoteza uelekeo kampiga nyundo moja ya kichwa pwaaa
wamuulize maradona na ujuaji wake kaishia wap alipopewa timu au gary nevile
wakimbiwa wakaifundishe swansea city haina kocha wanalala mbele
Nani kakwambia kina Cole na York hawaikosoi timu au kuisifia inapofanya vema? Unadhani scholes hajawahi kuisifia timu inapofanya vema? Pengine uchungu anaoupata Paul si kama Wa York,ole gunar na Cole kwa sababu wale ni foreigners wakati yeye ni mzawa aliyekulia palepale,Beckham anaipenda sana Man U ila hajajikita ktk uchambuzi. Ukitaka kujua scholes ana uzalendo na hii klabu soma hyo chini na kama unaipenda man u utaguswa na hicho alichokijibu Paul ukihusisha na malalamishi yake. Ni nadra sana kwa mchezaji kusema hicho kitu tena kwa klabu kubwa kama inter. Jamaa anakosoa kwa uchungu na timu wala si wivu kama Mourinho anavyowahadaa.
Pia akiongea shida. Akikaa kimya kaishiwa.Kocha akilaumu wachezaji wakicheza chini ya kiwango wanasema Mourinho anagombana na wachezaji ndio maana wanacheza chini ya kiwango,kocha akiwatetea wachezaji wake hao hao mashabiki wanamlaumu
Huyo ni mzungu ndugu yangu maswala ya nyundo na facts ni vitu tofauti. Nnavyoamini jamaa kwenye ukweli ataongea tu nami pia naomba jamaa kwenye ukweli aongee tu.hakuna mahali tumezungumzia scholes hana uzelendo uzalendo wao umepitiliza kuna muda wakae kimya tu huwezi kumlazimisha darmian acheze kama marcelo
ninachofurah mourinho kampa nyundo ya kichwa tu pwaaa giggs kaongea fact usajili uliofanywa na van gal + moyes ndio unaoitesa timu sawa mourinho kuna muda mbinu zake mbaya ila kajitahid hata kutushikiza top 4
hawa class of 92 ni kuponda tu next time ataacha kuparamia kazi za watu na yy aende kule akafundishe vijana mbona nick butt yupo kimya kwamba sio mzalendo?
Huyo ni mzungu ndugu yangu maswala ya nyundo na facts ni vitu tofauti. Nnavyoamini jamaa kwenye ukweli ataongea tu nami pia naomba jamaa kwenye ukweli aongee tu.
Kwani Mourinho ameongea uongo kuhusu Scholes ?Huyo ni mzungu ndugu yangu maswala ya nyundo na facts ni vitu tofauti. Nnavyoamini jamaa kwenye ukweli ataongea tu nami pia naomba jamaa kwenye ukweli aongee tu.
Ndugu unaamini wachezaji wanakosa form kwa maneno ya scholes? Vipi yeye mou anayewaongea wachezaji vibaya hadharani?Unaamini sana ngozi nyeupe ee mbona yapo mabwege kama JOE BURTON ataendelea kushushiwa nyundo ponda kabisa hao mourinho pwaaa wasikuyumbishe kama van gaal wakaoneshe maajabu swansea huko kama wanaweza kuwa makocha
tushachoka kila kitu kuponda tu hadi wachezaj wanapoteza fom yao
kidunula1 na radika
Hebu acheni ligi ndogo....najua wote lengo lenu moja Man U ifanye vizuri mnapishana tu mitazamano.
Tufurahi na kujiliwaza pamoja pasipo mpambano.
New topic kwenu......
Nasikia kuna fununu cr7 anaweza timba maskani, tutatisha!
sawa ndugu kwa mawazo chanya. Hizo tetesi nimeziona kwa mbali,ila nimeona wanamzungumzia pia Lucas Moura Wa PSG. Ila naamini hata yule kijana tukimpata itakuwa ni addition nzuri sababu ana kasi na ujuzi mzuri pia. CR7 huwa simuamini hadi nione amekuja manake karibia kila msimu huwa anatingisha kiberiti ili aongezewe mkwanja pale Real.![]()
![]()
sawa ndugu kwa mawazo chanya.
![]()
![]()
Hizo tetesi nimeziona kwa mbali,ila nimeona wanamzungumzia pia Lucas Moura Wa PSG. Ila naamini hata yule kijana tukimpata itakuwa ni addition nzuri sababu ana kasi na ujuzi mzuri pia. CR7 huwa simuamini hadi nione amekuja manake karibia kila msimu huwa anatingisha kiberiti ili aongezewe mkwanja pale Real.
Acha ujinga wewe kama vitu hujui kama kimya , Paul scholes ni muajiriwa wa kituo cha television cha BT sport pale England kama Football pundit ,sasa asiongee . Kuongea ndio kazi yake , Same To Rio Ferdinand na Lampard...wanaongea sana nao kwani beckham,cole,yorke na wakina soskjier hawaipend timu? kamnyoosha sana scholes muda wote kuwaponda tu wachezaj na kocha hata van gaal kuna muda walimpoteza uelekeo kampiga nyundo moja ya kichwa pwaaa
wamuulize maradona na ujuaji wake kaishia wap alipopewa timu au gary nevile
wakimbiwa wakaifundishe swansea city haina kocha wanalala mbele