Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2018-02-01-00-54-22.png
angalia statistics kisha jiulize ni wachezaji au maelekezo ya kocha
 
Aksante mou nasi pia tumempata wa kufanana na bruyne,kilichobaki kopi ya aguero au kane ili tufunge hesabu, we ni zaidi special one
 
Huyu pogba wanampa sifa zilizomzidi uwezo

Kuna uzi humu ukiletwa na wanazi wa Man U kwamba eti wanafanana assist na pogba kacheza mechi chache bas yeye ndio anajua zaid. Dadek sasa hv vichwa wanachimbia chini maana KDB anazid kupaa tu. Assist za kutosha magoli ya kutosha tena habagui mechi yeye awe mkubwa awe mdogo zote ana shine.
 
View attachment 688520 angalia statistics kisha jiulize ni wachezaji au maelekezo ya kocha
Mourinho hana kosa kwa mfano matic alivyokuwa anapoteza mipira ina maana kocha kamwambia afanye yale? Jana tulizidiwa tu hamna cha kocha timu yetu inawachezaj wa kawaida sna tumshukur Mungu hata nafasi ile tuliyopo bado tunahitaj uwekezaji wa nguvu pep sio mjinga kuwekeza vile kwa jana shida ilikuwepo kwa viungo wa kati
 
Mourinho hana kosa kwa mfano matic alivyokuwa anapoteza mipira ina maana kocha kamwambia afanye yale? Jana tulizidiwa tu hamna cha kocha timu yetu inawachezaj wa kawaida sna tumshukur Mungu hata nafasi ile tuliyopo bado tunahitaj uwekezaji wa nguvu pep sio mjinga kuwekeza vile kwa jana shida ilikuwepo kwa viungo wa kati
Mkuu hatuna viungo wa kazi matic kachoka sasa kacheza mechi nyingi mno pogba hana mpira wa jihad kama wanavyocheza viungo wengine kweli wanakuwa msaada kwa timu na unaonekana. Kuna muda tukubali kuwa udhaifu tunao hasa kati na beki zetu hazijatulia pengo la bailly ninkubwa sana pale kati. Jones na smalling morali na utulivu hakuna kabisa
 
Hii timu haina kabisa viungo wakabaji tuna viungo washambuliaji wengi sana hata wakina smalling na jones kuwashambulia ni makosa sana young sio natural full back valencia hivyo hivyo

Kwa maoni yangu katikati tulikuwa hovyo sana.


Sorry bro! Hivi Pogba Jana Alikuwa Akiumwa au Delle Ali na Eriksen Walifanya yao ? 😀 😀 😀
 
Leo ni moja kati ya siku tulizocheza vibaya sana(ovyo)
Acha tupiganie namba mbili yetu maana wa chin yetu naye kaliwa.
KING Ngwamba njoo utusaidie huku maana naona plastic fans wanaongezeka kwa kasi


Mkuu Lee Cho in Nipo Kwenye Maeneo 😀 😀 😀

Kuna days Nilipost Kitu Hichi ↓↓

Yeovil Town 😀 😀 😀 Iko Siku nitawaambia Kwanini Leo ninacheka!

Nilisema Kuna Siku Nitawaambia Sababu Ya Kucheka, Kwahiyo Nilichochekea Ni Kwamba Nilipoziona Zile Comments Za Watu Kusifia Performance Ya Hali Ya Juu ya Man United walioionesha Zidi ya [HASHTAG]#YeovilTown[/HASHTAG] huku Wakisahau Kuwa Timu waliocheza nayo Ni Ya Mchangani... 😀 😀 😀

Ni kilichonifurahisha Nikuwa Niliamini Majisifu yao Hayata Last long... Na Leo Ndiyo hii washageuka!
[HASHTAG]#PlasticFans[/HASHTAG] Ni shida...
 
Amani hua inanitoka nikimuona smalling uwanjanii , ni mchezaji wa kucheza westbrom, sunderland na viteam vya uwezo wake lakini sio Man U, hovyo kabisaa.
Kwa phill jones ni Moja kati ya mabeki bora tulio nao Man u. Sio mtu was papara, anauwezo was kupandisha team vizuri sana kubwa zaidi ni mtu was maamuzii.
Nathubutu kusema shida tulio nayo kawasasa OT ni Kocha mweye uwezoo wa kukabiliana na mbinu za wapinzani, tofuti na mawazo ya Kujilindaa kwa 70% ni hatari sanaa
 
Amani hua inanitoka nikimuona smalling uwanjanii , ni mchezaji wa kucheza westbrom, sunderland na viteam vya uwezo wake lakini sio Man U, hovyo kabisaa.
Kwa phill jones ni Moja kati ya mabeki bora tulio nao Man u. Sio mtu was papara, anauwezo was kupandisha team vizuri sana kubwa zaidi ni mtu was maamuzii.
Nathubutu kusema shida tulio nayo kawasasa OT ni Kocha mweye uwezoo wa kukabiliana na mbinu za wapinzani, tofuti na mawazo ya Kujilindaa kwa 70% ni hatari sanaa
Smalling, lingard, young na fellaini hawa hata wa perfome vzuri co wa2 wakuanza....
 
Back
Top Bottom