Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Poleni sana
Mou ufundishaji wake wa mafanikio ni mwaka mmoja tu katika kila team anayoenda
Prondo, radika, juma jux, mkurya na fans wote wa man u hilo ndio zigo lenu kwa mourinho
Inaonekana kuna kamgomo nini huku kwenu
 
Mwalimu unashindwa kuupata ubora wa Paul Pogba???

Conte na Allegri waliupataje??

KBD,, Sterling na hata Silva kaongezeka sana,, jamaa alishaanza ku-slow

Golden Boy Tony???

Lukaku??

Ni aibu sana jamaa nusra avae kiatu cha EPL kama sio miujiza ya Kane tena dakika za mwisho akiwa Everton then kaja sehem ambayo tliamin kabsa anakuwa mpinzan wa Kane Direct inakua kinyume chake
...
 
Manchester United ni kubwa kulko Josee tuwe wakweli!!
hii sentensi niliwahi isema msimu uliopita pale nilipoona anashindwa kufanya maamuzi magumu ili kuisaidia timu ishinde......jamaa kazidiwa kwa kweli unaacha kumgombeza rashford anaezingua kule mbele unahangaika kumgombeza shaw anaepandisha timu muda wote
 
To be honest: moyo umeshaingia ganzi ..nahisi ni adaptation ya haya matokeo mabovu tunayoyapata..sshv bora liende tu until smthing crucial is done.
Personally nahitaji ile culture yetu ya UTD irudi..huu mfumo uliopo sio kbs(ingawa sometimes unatusaidia kupata matokeo)
 
Screenshot_2017-12-31-01-00-04-1.png
Get Well Soon Romelu
 
Nimekuja kucheka tu hapa...naelekea ghorofa ya pili. Nayumai hamjambo.


Khe khe khe khe khe kheeeeeeeee
 
Hii itakuwa draw ya Tatu mfululizo, lazima kuna tatizo la mahusiano kati ya Mou na wachezaji au management.
hakuna, ukweli ni kwamba kila timu inatafta matokeo, kwaio usiende mbali sana!
 
hii sentensi niliwahi isema msimu uliopita pale nilipoona anashindwa kufanya maamuzi magumu ili kuisaidia timu ishinde......jamaa kazidiwa kwa kweli unaacha kumgombeza rashford anaezingua kule mbele unahangaika kumgombeza shaw anaepandisha timu muda wote
Absolutely Mkuu,,

Tutamtetea sana ila yeye ndio tatizo,, bifu kwa wachezaji haziwezi kukuacha salama,,, ni Mangapi Benzema anayafanya lakini Zizzou anamsapoti??

Josee ye kidogo tu bifu.. Hopely atafanya Maamuzi magum,,
 
Siku hiz hata sipotez muda wng kuangalia manchester united, nimeshajua Morinho kaishiwa na hana jipya, hata kama ataletewa messi, ronaldo, neymar, mbape na kila aina ya star, hakuna kitakachobadilika
Zama zake zimeisha na hana mbinu yyte ya kututoa tulipo.
Poleni mashabiki wenzangu, endeleeni kuinga mkono timu yetu lkn bora mujiandae kisaijolojia ili isije ikawaletea madhara, nawatakia ushabiki mwema
 
Bila shaka kuna campaign against Jose inaendeshwa chini kwa chini yawezekana baadhi ya wachezaji hawakubaliani na mbinu za mwalimu.
Kiongozi...
Nishawahi kulisema hili kwenye huu uzi...
Nililisema jambo hili mara baada ya Mourinho kuwasema vibaya wachezaji wake kwenye press baada ya mechi kuisha...
Lakini kuna shabiki KIAZI humu ndani alinibishia...
Alidai kuwa Man Utd ni timu kubwa sana kwa jambo kama hilo kutokea,mambo kama hayo yanatokeaga kwenye timu ndogo ndogo..!
Nilimshangaa sana...
Lakini cha ajabu,leo nimeona post yake na yeye ana wasiwasi kuwa wachezaji hawako sawa na kocha,tena kwasababu ile ile ambayo aliipinga..!
 
Pamoja na hali ngumu iliyopo (majeruhi wengi, Mou kubaniwa mkataba, kutoa draw mechi ya ushindi wa wazi last week) lakini Leo Burnley lazima wakae, lazima wapigwe vizuri. All the best MUFC.
Habari mkuu!!@
 
hii sentensi niliwahi isema msimu uliopita pale nilipoona anashindwa kufanya maamuzi magumu ili kuisaidia timu ishinde......jamaa kazidiwa kwa kweli unaacha kumgombeza rashford anaezingua kule mbele unahangaika kumgombeza shaw anaepandisha timu muda wote
Hamna lolote hapo
 
Back
Top Bottom