Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hii timu haina kabisa viungo wakabaji tuna viungo washambuliaji wengi sana hata wakina smalling na jones kuwashambulia ni makosa sana young sio natural full back valencia hivyo hivyo

Kwa maoni yangu katikati tulikuwa hovyo sana.
 
Nilichojifunza mechi ya leo

Nemanja Matic amechoka sana mara baada ya kutumika kwa muda mrefu hivyo ni wakati wa kumpa nafasi na Carrick.

Ashley Young apumzishwe na nafasi yake apewe Luke Shaw natural left back.

Chris Smalling anachezaje wakati mtu kama Marcos Rojo mzima

Man Utd chini ya Jose bado tupo maili nyingi sana kuufikia ubingwa wa EPL.
Ulivyomtaja Mou hapo jiandae kwa wapenzi wake wasiopenda umpinge.
 
Kwa mpira huu lawama zote kwa kocha. Una kila kitu na unapata wachezaji unaowaona wanafaa lakini bado timu haina kiwango cha maana. Mou BURE kabisa
 
Ahahaaaaaaaaaaah...
Kwani ni lini Man Utd imewahi kucheza mpira mzuri tangu imuajiri Mourinho..?

Leo kazi unayo utajibu post ngapi kama vile unashabikia timu ya maana unaweza kukuta wale hela za mafuta nununua timu ikishinda hamuonekani wakifungwa mnajidai kuijua timu na kocha wake kama mnajua mbona hamna makombe 20?
 
Unaidownload google au kwa opera usiitafute play store
Anataka supersport kwenye mobdro, Yaani akifungua app ya mobdro apate supersport. mm sijui kama ipo. naangalia tu skysport. ila leo nimecheck mechi zote Bein sport. 2, na 3
 
Anataka supersport kwenye mobdro, Yaani akifungua app ya mobdro apate supersport. mm sijui kama ipo. naangalia tu skysport. ila leo nimecheck mechi zote Bein sport. 2, na 3

hamna supersport mule
 
Yuropa League mwakani ni yenu
Man City
Liverpool
Totenham
Chelsea
Who wana bet?
 
Back
Top Bottom