radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Pogba sio jukumu lake alilopewa ndo mana hata sijamzungumzia mourinho nahisi anashindwa kumtumia alimpatia mechi ya everton alipokuwa akitokea kushoto na hata mechi ya arsenal atake asitke lazima anunue viungo level za kina vidal kumfanya pogba awe free KDB mwenyewe anatembea nyumba kuna mwamba fernandinhoSorry bro! Hivi Pogba Jana Alikuwa Akiumwa au Delle Ali na Eriksen Walifanya yao ? 😀 😀 😀