Mkuu im very sorry for You...
Pole sana Mkuu
Tumwombe Mungu tusitoke hata hapo ndani ya 4.
Ila ukweli usemwe,, Timu imemzid Mkufunzi...
Hatuna wachezaji wa kuendana ma falsafa yake
Inter alikua na kna Zennet,, Lucio,, Chivu,, Maicon,, nw
Chelsea part One walkuepo kna Makelele,, Essien,, Cole,, JT, nw
Madrid alianza huo upuuzi akachemka akaishia kuwafanya wawaone Barcelona maadui wao katika sayari hii ya tatu... Ili hali mpira unapigwa peupe
Martial unataka awe mkabaji?? Mkhi kweli utauona ubora wake ili hali mda !mwingi kaambia akumbuke kukaba??
Tutawalaumu sana wachezaji but mbinu za Mwalim nazo mhhhhh!!!
Kama sio Matic,, Kama sio David Mwakamwa 2018 mwanzoni Kabisa Josee asngekua Mkufunzi wa Manchester United..
Nilichokibaini ni kuwa Josee kajitaidi sana kuijenga timu na ni moja ya ndoto zake viatabu vya kumbukumbu vya soka kumwandika kama moja ya makocha waliowahi kufanya vizuri akiwa Manchester United..
Ila,,,
Manchester United ni kubwa kulko Josee tuwe wakweli!!
Let say akapewa Hyo Bale,, au Perisic,, Griez au Dyabala ni kweli atatoka hapo??? Mkhi kashindwa kumtu!ia,, Mata as well ije kuwa Ozil tunaemjua???
Mbinu zake zmepitwa na wakati na wachezaji wa mbinu zile hawapo tena,,.. Walau unapaki Bas upo na tmu hatar,, sio Leicester Walio pungufu tena kiungo....





Utd Forever