Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

74fbd9be33dd6fa3011287c6173b183e.jpg


Mwakani OT itachezewa Futuhi
Na huyo no. 6 patachezwa nini?
 
Aisee Kumbe vyuma vimekaza, kumbe kauli ya magu haeakuisikia, ya kuweka grisi
 
Mourinho is responsible (tactics) kwa haya yanayotokea hali ikiendelea hivi hakuna atakayemtetea but the way wachezaji wanavyocheza(attitude) yao ni wachache sana wanadeserve kuchezea hii timu hata angekuwa kocha gani.Hii timu akija kocha mwingine nae atafukuzwa kwa wachezaji hawa cycle itakuwa inaendelea
 
Poleni wahenga kuna ndugu yenu anawasubiri pale mtaa wa saba
 
Nagombana sana na watu kuhusu moronho,yule jamaa ni kocha mzur sana.man u tuna timu ya kawaida sana kwa kwel
Tactics za Mou ni outdated. Playing defensively won't win us anything..
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
 
Mimi sioni tatizo la wachezaji hapa lazima kuna kitu mbona ligi ilivyoanza timu ilikua inacheza vizuri sana?? Matokeo safi kabisa sasa hivi tatizo nini??
Timu haibadiliki kiuchezaji inamaana soton wana wachezaji bora kuliko man u? Hapana!!! Tatizo nini KOCHA..............
 
Back
Top Bottom