Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Another day, another brilliant save from David De Gea.
26166632_10156042424473598_4997361665108668618_n.jpg
 
Kuna shabiki mmoja kaandika hivi

"The only area where Mou still has the edge is crying and whining. He's untouchable there".

"The sadder part is that he turned a lot of our fans in his image and they are supporting the same behaviour they used to criticise him for"
 
am so tired
Mkuu sometime hata kuandika inakua shida,, Nafsi zmajaa sumu

Ndo tukose tena UCL???

Mwenyezi Mungu atuepushe na kikombe hicho


NB. Josee anabeba lawama zote katika haya,,
Nmegundua Manchester United ni Club kubwa sana kwa kocha aliopo..

Malalamiko hayamsaidii,, kwanza ni utovu wa maadili kwa mkufunzi wa Manchester United kuzungumzia timu zingne hasa katika matumizi,,, Hajawahi kuwa na First 11 kwa miaka 2 sasa.. Kama sio Ubora wa De Gea na ujemedari wa Matic sidhan hta hyo namba 3 tungekuwepo

Mwanadam anaposhindwa kuyamudu mazingira yake tunamwita 'Primitive' Mara mia tufungwe na Bigger wenzetu na sio kuvimbiwa na kna soton,, WBA,, Lei nw...
 
Ila mourinho nahis wachezaj washamchoka mkuu ukiamuangalia pogba hana hamasa kabisa yan mik ndo bora liende manchester tukipata mchezaj mkali kwa sasa itaongea pesa sio mvuto wa kocha.
Bila shaka kuna campaign against Jose inaendeshwa chini kwa chini yawezekana baadhi ya wachezaji hawakubaliani na mbinu za mwalimu.
 
Mkuu sometime hata kuandika inakua shida,, Nafsi zmajaa sumu

Ndo tukose tena UCL???

Mwenyezi Mungu atuepushe na kikombe hicho


NB. Josee anabeba lawama zote katika haya,,
Nmegundua Manchester United ni Club kubwa sana kwa kocha aliopo..

Malalamiko hayamsaidii,, kwanza ni utovu wa maadili kwa mkufunzi wa Manchester United kuzungumzia timu zingne hasa katika matumizi,,, Hajawahi kuwa na First 11 kwa miaka 2 sasa.. Kama sio Ubora wa De Gea na ujemedari wa Matic sidhan hta hyo namba 3 tungekuwepo

Mwanadam anaposhindwa kuyamudu mazingira yake tunamwita 'Primitive' Mara mia tufungwe na Bigger wenzetu na sio kuvimbiwa na kna soton,, WBA,, Lei nw...
nimechoka kwa kweli na kwa mara ya kwanza toka nianze ishabikia hii timu 1998/99 chozi limenitoka leo
 
Mkuu kama uliangalia mech ya bristol city walivyotupa shida utagundua kocha hana mbinu habadilik kwendana na wachezaj alionao alipotoka lukaku nkajua mipira ya juu itakuwa haina maana tena mana rashford na lingard sio wazur hewan lakin makross tu
Kumbe uliliona hilo tegemezi wake alikua big fella sasa hayupo. Timu inashindwa kucheza hata pasi 5 murua mbele pale yani dah.
Tukubali tu Mou kufundisha mpira wa ufundi hawezi na ndo sababu ya wachezaji wengi viwango kushuka kila siku.
 
Unafikiri De Gea angekuwa anacheza kama wachezaji wengine wanavyocheza kila game United ingekuwa inafungwa si chini ya magoli 3
Bila shaka mkuu lakini siku zote Mungu hakupi kilema akakukosesha mwendo mnafanya matipwi kule nyuma lakini De Gea anawastiri mara kwa mara.
 
nimechoka kwa kweli na kwa mara ya kwanza toka nianze ishabikia hii timu 1998/99 chozi limenitoka leo
Mkuu im very sorry for You...

Pole sana Mkuu
Tumwombe Mungu tusitoke hata hapo ndani ya 4.

Ila ukweli usemwe,, Timu imemzid Mkufunzi...

Hatuna wachezaji wa kuendana ma falsafa yake
Inter alikua na kna Zennet,, Lucio,, Chivu,, Maicon,, nw
Chelsea part One walkuepo kna Makelele,, Essien,, Cole,, JT, nw

Madrid alianza huo upuuzi akachemka akaishia kuwafanya wawaone Barcelona maadui wao katika sayari hii ya tatu... Ili hali mpira unapigwa peupe

Martial unataka awe mkabaji?? Mkhi kweli utauona ubora wake ili hali mda !mwingi kaambia akumbuke kukaba??
Tutawalaumu sana wachezaji but mbinu za Mwalim nazo mhhhhh!!!

Kama sio Matic,, Kama sio David Mwakamwa 2018 mwanzoni Kabisa Josee asngekua Mkufunzi wa Manchester United..


Nilichokibaini ni kuwa Josee kajitaidi sana kuijenga timu na ni moja ya ndoto zake viatabu vya kumbukumbu vya soka kumwandika kama moja ya makocha waliowahi kufanya vizuri akiwa Manchester United..

Ila,,,

Manchester United ni kubwa kulko Josee tuwe wakweli!!

Let say akapewa Hyo Bale,, au Perisic,, Griez au Dyabala ni kweli atatoka hapo??? Mkhi kashindwa kumtu!ia,, Mata as well ije kuwa Ozil tunaemjua???

Mbinu zake zmepitwa na wakati na wachezaji wa mbinu zile hawapo tena,,.. Walau unapaki Bas upo na tmu hatar,, sio Leicester Walio pungufu tena kiungo....

Utd Forever
 
Back
Top Bottom