Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Tumebaki na competitions 3, UEFA, EPL na FA. Sioni sehem tunanyanyua kwapa this season hapo. Truth be said..

Mourinho ni mpumbavu, hii defensive ideology yake inai cost team Sana, this time around Utd ikiongoza goli moja baasi inawaza kulinda tuu.

Imagine Jana, 1 goal n 1 man advantage then tunashindwa kumaliza game. Pathetic..
Kocha hovyo, jinga na joga sina furaha kabisa na timu
 
Leo tupo na Burnley ,Old Trafford. Napata mashaka kutokana na aina ya uchezaji ya Manchester ( Kujihami), kila mechi kwa Manchester united itakuwa ngumu haijalishi ni Old Trafford au Ugenini. Kila timu inajua sisi ni wa kujihami. Sioni mechi nyepesi kwa Manchester united.



Kama kocha hata badilisha aina ya uchezajiz kutoka kulinda zaidi mpaka kuwa team ya kushambulia zaidi, mafanikio ya timu yetu kupatikana yatakuwa magumu sana.
 
Kocha hovyo, jinga na joga sina furaha kabisa na timu

Mkuu kamuunge mkono city hamna bana natania tutakaa sawa kila mech tukicheza hatukos mchezaj muhimu kuwa majeruh kwa mfano juz tulimkosa valencia na bailly kidogo inapunguza ushind sio muda wote kocha anafanya vibaya yafaa tumpe credit kujaza vitoto vingi na kufanya navyo kazi inahitaj moyo mana kipind alikiwa akiwapiga bench wakina martial tulikuwa tunalaum lakin sote tunaona wanafanya makosa yanayojirudia hatuna wachezaj wapambanaji level za wakina rooney mchezaj yupo tayar kucheza hata bek

Nasikia jones alimwambia herrera akacheze namba 2 lindelof apande namba 4 baada ya smalling kuumia lakin ander alikataa so unaona hapo hakuna wafia timu.
 
Mkuu kamuunge mkono city hamna bana natania tutakaa sawa kila mech tukicheza hatukos mchezaj muhimu kuwa majeruh kwa mfano juz tulimkosa valencia na bailly kidogo inapunguza ushind sio muda wote kocha anafanya vibaya yafaa tumpe credit kujaza vitoto vingi na kufanya navyo kazi inahitaj moyo mana kipind alikiwa akiwapiga bench wakina martial tulikuwa tunalaum lakin sote tunaona wanafanya makosa yanayojirudia hatuna wachezaj wapambanaji level za wakina rooney mchezaj yupo tayar kucheza hata bek

Nasikia jones alimwambia herrera akacheze namba 2 lindelof apande namba 4 baada ya smalling kuumia lakin ander alikataa so unaona hapo hakuna wafia timu.
Mourinho ni Mpuuzi Tu
 
Two players Mourinho must play from the outset to guarantee three points against Burnley.

Juan Mata
Mata has been in excellent form throughout the month of December and used his creative qualities to provide opportunities for his teammates.
If there’s one thing United can expect from Burnley, then it’s a solid defensive shape which will be difficult to break down.
But with Mata in the starting line-up, United will have a player who can carve open the opposition and find the pockets of space on the edge of the area that are often so difficult to come by against a well-organised Burnley side.
Romelu Lukaku
Whether rightly or wrongly, United’s star-striker has taken plenty of criticism from his own supporters in recent weeks after a difficult spell spearheading the Red Devils’ attack.
But regardless of the supporters opinion, there is no doubt that he is the club’s best option at centre-forward, with Zlatan Ibrahimovic looking his age of late.
In Lukaku’s 4 appearances against Burnley, he has scored 2 goals and provided an assist, which suggests he should be involved in at least one goal against the Clarets this afternoon, providing that he receives quality service from his United team-mates.
 
Pamoja na hali ngumu iliyopo (majeruhi wengi, Mou kubaniwa mkataba, kutoa draw mechi ya ushindi wa wazi last week) lakini Leo Burnley lazima wakae, lazima wapigwe vizuri. All the best MUFC.
Tatizo lenu jirani zangu, muna maneno mengi. Nani hana majeruhi? Ushindi wa wazi kivipi? Kwa vyovyote vile hapa bongo wew ni Simba.
 
Tatizo lenu jirani zangu, muna maneno mengi. Nani hana majeruhi? Ushindi wa wazi kivipi? Kwa vyovyote vile hapa bongo wew ni Simba.
City na united nani ana mashabik wengi hapo ndo utajua kwa nini huwez kuongea na mafanikio ya timu yako huwez kuchonga ikiwa una makombe 3 hata leo madrid wakiamua kuongea nani atawashinda na zile ndoo 12 za ulaya lazima uufyate tu sio maneno mengi pia city sioni kama wana majeruh wa kwamba timu iweza kupotea
 
City na united nani ana mashabik wengi hapo ndo utajua kwa nini huwez kuongea na mafanikio ya timu yako huwez kuchonga ikiwa una makombe 3 hata leo madrid wakiamua kuongea nani atawashinda na zile ndoo 12 za ulaya lazima uufyate tu sio maneno mengi pia city sioni kama wana majetuh wa kwamba timu iweza kupotea
Tatizo uongeaji wenu wakijinga. Barca na madrid hazina mashabiki? Hapa bongo Yanga haina mashabiki?
 
Tatizo uongeaji wenu wakijinga. Barca na madrid hazina mashabiki? Hapa bongo Yanga haina mashabiki?
Kaangalie ktk hizo timu ni yup duniani anaongoza kwa mashabik wengi sasa wewe utaongea nini ndugu yangu timu imeanzishwa 2008? Kuna muongeaji wa akil au hujui maana ya ushabik mpira mchezo wa dhihaka mnachukia kwa kuwa hamna kitu sasa wewe vikombe vitatu utasema nn
 
Tatizo uongeaji wenu wakijinga. Barca na madrid hazina mashabiki? Hapa bongo Yanga haina mashabiki?
FB_IMG_1513346679385.jpg
 
Mkuu kamuunge mkono city hamna bana natania tutakaa sawa kila mech tukicheza hatukos mchezaj muhimu kuwa majeruh kwa mfano juz tulimkosa valencia na bailly kidogo inapunguza ushind sio muda wote kocha anafanya vibaya yafaa tumpe credit kujaza vitoto vingi na kufanya navyo kazi inahitaj moyo mana kipind alikiwa akiwapiga bench wakina martial tulikuwa tunalaum lakin sote tunaona wanafanya makosa yanayojirudia hatuna wachezaj wapambanaji level za wakina rooney mchezaj yupo tayar kucheza hata bek

Nasikia jones alimwambia herrera akacheze namba 2 lindelof apande namba 4 baada ya smalling kuumia lakin ander alikataa so unaona hapo hakuna wafia timu.





Hapa Mourinho ndiyo anatuonesha Nini?? Kusema ikisha akameza Maneno Yake Ni jambo la kawaida Kwake!!

Makocha Wanapolalamikia injury asiwaone Wajinga na Kujiona Yeye Mwerevu pale Yanapokuwa Hayajamfika.
 

Attachments

Hapa Mourinho ndiyo anatuonesha Nini?? Kusema ikisha akameza Maneno Yake Ni jambo la kawaida Kwake!!

Makocha Wanapolalamikia injury asiwaone Wajinga na Kujiona Yeye Mwerevu pale Yanapokuwa Hayajamfika.

hilo nimeongea mm sio mourinho yeye hajalalamikia majeruhi mkuu.
 
Kaangalie ktk hizo timu ni yup duniani anaongoza kwa mashabik wengi sasa wewe utaongea nini ndugu yangu timu imeanzishwa 2008? Kuna muongeaji wa akil au hujui maana ya ushabik mpira mchezo wa dhihaka mnachukia kwa kuwa hamna kitu sasa wewe vikombe vitatu utasema nn


Baada Ya Gurdiola Kufanikiwa Kuinunua Ligi Hawa Man Shit washaanza Mdomo! Kabla Ya Kuangalia Kuwa Kwanini Hajafungwa kwanza Wangeangali Katumia £ ngapi Kwa Ajili ya Kufika Hapo alipo.
Lakini Muarabu afahamu Kuwa Mpira Ni Wa Wananchi na Si Wa Pesa..

Hata Abramovic 2004/05 aliinunua Ligi lakini Sasahivi Kaishia Wapi? Kuingia sokoni anaogopa Anaishia Kuuza Matic anunue Moratta.

Na Huyo Mwarabu Ajue Matumizi Ya Katika Soka Yana Ukomo..

Kwa Ufupi Gurdiola Kainunua Ligi.
 
hilo nimeongea mm sio mourinho yeye hajalalamikia majeruhi mkuu.


Nimeeka Kijiklip Hapo Juu Cha Mourinho Akiwaponda Makocha Wanaoleta Visingizio vya injury wakati wanapopata Matokea Hasi, Hatimae na yeye analalamikia hayo hayo majeruhi..
Ndiyomana NikaQuote Kwa kumlenga Mou.
 
Leteni updates plus team news achaneni na haters tuliteteleka ila leo tunatoa kipigo cha mbwa mwizi. Sisi 4 wao 0

#GGMU#
 
Back
Top Bottom