shululu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2015
- 28,137
- 109,911
Leo tatizo ni niniNguvu zimeniisha
Leo tatizo ni niniNguvu zimeniisha
Well said mkuuMourinho is responsible (tactics) kwa haya yanayotokea hali ikiendelea hivi hakuna atakayemtetea but the way wachezaji wanavyocheza(attitude) yao ni wachache sana wanadeserve kuchezea hii timu hata angekuwa kocha gani.Hii timu akija kocha mwingine nae atafukuzwa kwa wachezaji hawa cycle itakuwa inaendelea
Rashford amekuwa so selfish, inabidi Mou aongee naye. A kid needs to grow up.Mtoe Ashley young na Rashford kwenye hiyo list
Hakika naelewa situation uliopo mkuu 😀Nguvu zimeniisha
Ni kweli, kama angeona hawafit na mfumo wake Si angeongea na board wawa offload. Ila kama amewabakiza that means anawahitaji, and that is not an excuse..Alinyimwa hela ya kusajiri?? Alikatazwa kusajiri?? Muda mwingine muwe mnatumia akili
Gundu analitengeneza na kuweka mgawanyo kwa wachezaj huyu kocha wachezaj lazima watakuwa na vinyongo tu haiwezekan pogba afike alambe ucaptain mi siungi mkono hata kidogo wala halipendez de gea yupo kitambo pale jones yupo pale yani wanacheza ila hawana ile hamasa kocha mpuuz kwenye hiloLeo tatizo ni nini
Vitoto kama hivi vinawah kuharibika hamna viongoz pale captain mwenyewe pogba atamwambia nn rashford valencia mpira unaanza had unaisha hata wamkwatue hamna kuongea lazima viwe hovyo ronaldo alipata bahat ya wakina kean akicheza hovyo yanamfuataRashford amekuwa so selfish, inabidi Mou aongee naye. A kid needs to grow up.
Ila mourinho nahis wachezaj washamchoka mkuu ukiamuangalia pogba hana hamasa kabisa yan mik ndo bora liende manchester tukipata mchezaj mkali kwa sasa itaongea pesa sio mvuto wa kocha.Hakika naelewa situation uliopo mkuu 😀
Tangu pogba alivorudi hatujashinda hii ni mechi ya nne..na yeye ndo captain..kitambaa apewe mwingine aisee









Mkuu kama uliangalia mech ya bristol city walivyotupa shida utagundua kocha hana mbinu habadilik kwendana na wachezaj alionao alipotoka lukaku nkajua mipira ya juu itakuwa haina maana tena mana rashford na lingard sio wazur hewan lakin makross tuMimi sioni tatizo la wachezaji hapa lazima kuna kitu mbona ligi ilivyoanza timu ilikua inacheza vizuri sana?? Matokeo safi kabisa sasa hivi tatizo nini??
Timu haibadiliki kiuchezaji inamaana soton wana wachezaji bora kuliko man u? Hapana!!! Tatizo nini KOCHA..............
Ha ha ha.....nasikia eti wamefurahia De Gea kupata clean sheet nyingine








