Achana na uchambuz wa kina jimie hizo takwimu zao zilichukuliwa mech za ugenini je nyumban kawafanya nn hao wakubwa?
Tumemfunga spurs na chelsea tumepoteza mech moja ya city suluhu ya liver na arsenal bado hiyo kauli ipo hai? City msimu ulioisha kapigwa na chelsea away,kapigwa na spurs away kapigwa na liver away arsenal suluhu kashinda mechi moja tu ya away tena kwetu
Tumecheza mechi moja tu msimu huu watu washatoa hitimisho vyombo vya uingereza vinaharibu soka lao.
Hao ni maadui wa mourinho pia hata ukiangalia kwa jicho la mbali tuna mechi ya uefa ambayo ni muhimu mno ukiongoza kundi lako unanafasi ya kumkwepa mkubwa mmoja ligi ni mbio ndefu uefa ni mtaono ukizubaa tu imekula kwako
Najua wengi mtanibishia city ni moto wa mabua utazimwa muda si mrefu manchester united ni bingwa wa epl