Ferrenga
JF-Expert Member
- Dec 27, 2016
- 942
- 1,659
Wanataka tununue wachezaji kama city...Tangu mwanzo nilipinga ujio wa Jose mkabisha sasa muone wenyewe tulivyo wabovu wazee wa kupaki bus
Wanataka tununue wachezaji kama city...Tangu mwanzo nilipinga ujio wa Jose mkabisha sasa muone wenyewe tulivyo wabovu wazee wa kupaki bus
Mkuu ni swala la muda tu.Karibu mkuu.
Hata mimi huwa simkubali kabisa jamaa mbinu zake zinatia mashakaTangu mwanzo nilipinga ujio wa Jose mkabisha sasa muone wenyewe tulivyo wabovu wazee wa kupaki bus
Haya sawaMkuu ni swala la muda tu.
Mournho anadai €300m ni kidogo atiiii kwa ajili ya nsajili yakhee!!
Ngoja nilale hizi 500 zangu bora niwe nakunywa mchuzi wa pweza shubamiiti Mou na timu yake..
Naona upew ww tutashindaTangu pogba alivorudi hatujashinda hii ni mechi ya nne..na yeye ndo captain..kitambaa apewe mwingine aisee
Akikujibu naomba unitag
Mkuu Vipi Bado unasimamia Hii kauli Yako au Umeshaifuta Hii kauli?
Mambo magumu lazima wafanye hivyo japo kuokoa jahazi linalozamaWanalilia penati tu, aibu sana
Tangu pogba alivorudi hatujashinda hii ni mechi ya nne..na yeye ndo captain..kitambaa apewe mwingine aisee
Acha kutetea ujinga, unalinganisha Lingard/Rashford na hiyo takataka.Na lingard anafanya nini ? Rashford toka kaingia vp ?
Adhabu gani wakati ile ilishaisha kitambo tu au unaota?Tunakubaliana kua Chelshit kasogea nafasi ya pili au?ni wakati wa kuanza kutamba na nafasi mpya ya 3 hakuna namna.
Bado tunasubiri Pogba amalize adhabu tuanze balaa letu...![]()