Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 14,001
- 31,770
Hongera kwa kushuhudia maana ulijitamba sana
HONDSIGHT is the Bitch.wachezaji ukiacha individual mistakes wanacheza kulingana na
maelekezo ya kocha.
city wanafungika ukicheza Mpira...na wachezaji wa kufunguka wapo utd y asiwatumie?
Kwa kweli mkuu nikisomaga post zako napata matumaini.Chifu, ingawa nami pia siyo shabiki wa José, lakini katika hili sikubaliani nawe.
Ndiyo, tactics leo hazikuwa sawa. Lakini huwezi kum-dismiss José kwa stats za leo. United ya SAF ilipigwa 6-1 na City hapo hapo OT. Unakumbuka stats zake? Unakumbuka stats za Barća vs. United UCL Finals?
Binafsi, naridhika sana na anachokifanya José. City have the best form in EPL, kama siyo kwenye ligi zote za Ulaya kwa sasa. Kufungwa na City, kunauma sana, lakini siwezi kusikitika sana pia.
Pengo la Pogba naona hujaliongelea! Yeye ndiye best United player, ukimtoa DDG. Kumkosa kwenye game dhidi ya on-form City siyo jambo dogo.
Ligi bado. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho. Pace ita dip pale mechi zitakapoanza kujazana kwenye mashindano anayoshiriki.
So, keep it positive and optimistic bruv.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Sawa, ni uamuzi wako mzee.Kwa kweli mkuu nikisomaga post zako napata matumaini.
Ila leo daaah
Yaani cty katuacha point 11 bado tuwe na ndoto za kumfikia? Inahitaji moyo mkubwa sana kuweza kutegemea kitu kama hiko kutokea. muujiza hiyo ilikuwa kipindi cha yesu tu galilaya huko
Nakunaliana na wewe kwamba lukaku hatujapoteza hela.Lukaku bado mdogo sana.Ni mchezaji mzuri ila bado sana kufikia ile quality inayoitajika pale OT ajafikia.
Atujapoteza ela tumpe misimu kama 2 ivi ili afikie quality ya drogba.
Kwa sasa mourinho ajishushe tu na Lukaku aanze kugombania no pale,akiwa form aanze lakini akizingua kama ivi ale bench kama kina Mickh.
Sioni sababu ya kulazimisha kila mechi acheze 90,atatucost sana.
Fatilia historia ya kina drogba,Costa na ata rvp...kipindi under 25 walikua wanazingua sana tuu.
All in all bado naamini Lukaku atakuja kuwa Bonge la Striker apo mbeleni.
Tutaombe uzima, may si mbaliSawa, ni uamuzi wako mzee.
Mimi bado naona ligi mbichi kabisa hii!
ni makocha wawili tu epl wanaojua mpira.....pep na mauricio pochetinoGuardiola ni the best coach in the world.
Ligi ambayo tulidhani ina upinzani kuliko ligi zote duniani inapata bingwa by christmas. Kumbe hata la liga jamaa aliifanya tudhani ni ya barca tu.
He's genius.
Mourinho labda awe fundi wa kupaki basi tu tatizo lenu mnaongea kuliko uwezo wa timu yenuMkuu umeongea ya maana sana. Kama ukiniuliza kocha gani ana akili pale uingereza nitakwambia Mourinho. Jamaa mbinu zake ni nzuri sana na ni fundi wa kuusoma mchezo for sure. City sijaona makali yako japo katufunga na hizo possesion ndiyo mfumo wa gadiola hata afungwe ataongoza kwa possesion.
Tatuzo kwetu naliona kwa wacgezaji tu bado baadhi hawako na ile roho ya kiushindani zaidi na for sure mimi simkubali lukaku akiwa kama mshambuliaji ambae anaweza kumiliki mpira kufanya drible za maana na kuleta madhara.
Inabidi tuweke mapenzi pembeni kwa lukaku jamaa inabidi awe mtu wa kutegemewa na sinkutegemea.
swadakta kaka mou mpaka alikonda msimu uliopita na haiba yake usoni ilikufa kabisaaaaaNani kamfunga city tuanzie hapo kwanza kabla hujaanza na kocha makini acha mou ajenge timu yake mi ntamponda 2019/2020 aliikuta timu taabani sana
Chifu, ingawa nami pia siyo shabiki wa José, lakini katika hili sikubaliani nawe.
Ndiyo, tactics leo hazikuwa sawa. Lakini huwezi kum-dismiss José kwa stats za leo. United ya SAF ilipigwa 6-1 na City hapo hapo OT. Unakumbuka stats zake? Unakumbuka stats za Barća vs. United UCL Finals?
Binafsi, naridhika sana na anachokifanya José. City have the best form in EPL, kama siyo kwenye ligi zote za Ulaya kwa sasa. Kufungwa na City, kunauma sana, lakini siwezi kusikitika sana pia.
Pengo la Pogba naona hujaliongelea! Yeye ndiye best United player, ukimtoa DDG. Kumkosa kwenye game dhidi ya on-form City siyo jambo dogo.
Ligi bado. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho. Pace ita dip pale mechi zitakapoanza kujazana kwenye mashindano anayoshiriki.
So, keep it positive and optimistic bruv.
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
ni makocha wawili tu epl wanaojua mpira.....pep na mauricio pochetino
Mou kasema haya : “When you see Man City play you expect them to score great goals, not two disgraceful goals. They’re the last goals you expect to concede against them.”Nani kamfunga city tuanzie hapo kwanza kabla hujaanza na kocha makini acha mou ajenge timu yake mi ntamponda 2019/2020 aliikuta timu taabani sana
Umeona game manure alivyoharibuMan city hawana lolote hao mechi yao dhidi ya west ham waliponea chupuchupu west ham kama wangekomaa kama jinsi walivyo komaa kwa Chelsea city wangepoteza
Pole sanaMan u 3-1 manct
Top 4? Chifu, niaje timu iliyo nafasi 2 unataka ipambane kwa top 4? Ligi bado hii. City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.
Bado 22 games, you cannot throw the towel now, United cannot throw the towel now. A lot of things can happen: injuries, suspensions etc., kwa hiyo labda kama umeamua kufurahisha genge kusema ati ligi imeisha, wakati hata half way haijafika.
Ha ha! Halafu sikujua kama ni wewe kashengo naona umetoka mafichoni! Vipi, [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] or [HASHTAG]#WengerIn[/HASHTAG]
Top 4? Chifu, niaje timu iliyo nafasi 2 unataka ipambane kwa top 4? Ligi bado hii. City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.
Bado 22 games, you cannot throw the towel now, United cannot throw the towel now. A lot of things can happen: injuries, suspensions etc., kwa hiyo labda kama umeamua kufurahisha genge kusema ati ligi imeisha, wakati hata half way haijafika.
Ha ha! Halafu sikujua kama ni wewe kashengo naona umetoka mafichoni! Vipi, [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] or [HASHTAG]#WengerIn[/HASHTAG]