Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chifu, ingawa nami pia siyo shabiki wa José, lakini katika hili sikubaliani nawe.

Ndiyo, tactics leo hazikuwa sawa. Lakini huwezi kum-dismiss José kwa stats za leo. United ya SAF ilipigwa 6-1 na City hapo hapo OT. Unakumbuka stats zake? Unakumbuka stats za Barća vs. United UCL Finals?

Binafsi, naridhika sana na anachokifanya José. City have the best form in EPL, kama siyo kwenye ligi zote za Ulaya kwa sasa. Kufungwa na City, kunauma sana, lakini siwezi kusikitika sana pia.

Pengo la Pogba naona hujaliongelea! Yeye ndiye best United player, ukimtoa DDG. Kumkosa kwenye game dhidi ya on-form City siyo jambo dogo.

Ligi bado. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho. Pace ita dip pale mechi zitakapoanza kujazana kwenye mashindano anayoshiriki.

So, keep it positive and optimistic bruv.

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Kwa kweli mkuu nikisomaga post zako napata matumaini.
Ila leo daaah
Yaani cty katuacha point 11 bado tuwe na ndoto za kumfikia? Inahitaji moyo mkubwa sana kuweza kutegemea kitu kama hiko kutokea. muujiza hiyo ilikuwa kipindi cha yesu tu galilaya huko
 
Kwa kweli mkuu nikisomaga post zako napata matumaini.
Ila leo daaah
Yaani cty katuacha point 11 bado tuwe na ndoto za kumfikia? Inahitaji moyo mkubwa sana kuweza kutegemea kitu kama hiko kutokea. muujiza hiyo ilikuwa kipindi cha yesu tu galilaya huko
Sawa, ni uamuzi wako mzee.

Mimi bado naona ligi mbichi kabisa hii!
 
Lukaku bado mdogo sana.Ni mchezaji mzuri ila bado sana kufikia ile quality inayoitajika pale OT ajafikia.

Atujapoteza ela tumpe misimu kama 2 ivi ili afikie quality ya drogba.

Kwa sasa mourinho ajishushe tu na Lukaku aanze kugombania no pale,akiwa form aanze lakini akizingua kama ivi ale bench kama kina Mickh.

Sioni sababu ya kulazimisha kila mechi acheze 90,atatucost sana.

Fatilia historia ya kina drogba,Costa na ata rvp...kipindi under 25 walikua wanazingua sana tuu.

All in all bado naamini Lukaku atakuja kuwa Bonge la Striker apo mbeleni.
Nakunaliana na wewe kwamba lukaku hatujapoteza hela.
Ila misimu mi2 kabs mkuu?

Mchezaji anunuliwe 75 alaf apewe misimu mi2 kweli?
 
mara mia ningeenda hiki kibanda umiza kuangalia hii game naamini mchukua ela kama angegoma kurudisha ela yangu basi meno yake yalikua halali yangu leo
25158023_1509394099157566_5756643457321348870_n.jpg
 
Mkuu umeongea ya maana sana. Kama ukiniuliza kocha gani ana akili pale uingereza nitakwambia Mourinho. Jamaa mbinu zake ni nzuri sana na ni fundi wa kuusoma mchezo for sure. City sijaona makali yako japo katufunga na hizo possesion ndiyo mfumo wa gadiola hata afungwe ataongoza kwa possesion.
Tatuzo kwetu naliona kwa wacgezaji tu bado baadhi hawako na ile roho ya kiushindani zaidi na for sure mimi simkubali lukaku akiwa kama mshambuliaji ambae anaweza kumiliki mpira kufanya drible za maana na kuleta madhara.
Inabidi tuweke mapenzi pembeni kwa lukaku jamaa inabidi awe mtu wa kutegemewa na sinkutegemea.
Mourinho labda awe fundi wa kupaki basi tu tatizo lenu mnaongea kuliko uwezo wa timu yenu
 
Nani kamfunga city tuanzie hapo kwanza kabla hujaanza na kocha makini acha mou ajenge timu yake mi ntamponda 2019/2020 aliikuta timu taabani sana
swadakta kaka mou mpaka alikonda msimu uliopita na haiba yake usoni ilikufa kabisaaaaa
 
Chifu, ingawa nami pia siyo shabiki wa José, lakini katika hili sikubaliani nawe.

Ndiyo, tactics leo hazikuwa sawa. Lakini huwezi kum-dismiss José kwa stats za leo. United ya SAF ilipigwa 6-1 na City hapo hapo OT. Unakumbuka stats zake? Unakumbuka stats za Barća vs. United UCL Finals?

Binafsi, naridhika sana na anachokifanya José. City have the best form in EPL, kama siyo kwenye ligi zote za Ulaya kwa sasa. Kufungwa na City, kunauma sana, lakini siwezi kusikitika sana pia.

Pengo la Pogba naona hujaliongelea! Yeye ndiye best United player, ukimtoa DDG. Kumkosa kwenye game dhidi ya on-form City siyo jambo dogo.

Ligi bado. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho. Pace ita dip pale mechi zitakapoanza kujazana kwenye mashindano anayoshiriki.

So, keep it positive and optimistic bruv.

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]

Mkuu unamaanisha nini unaposema : City can’t sustain hii pace mpaka mwisho
Anachotafuta city ni ushindi na sio malalamiko baada ya kufungwa.
Mwanzo walisema \city hajakutana ni timu kubwa, wakati huo alishampiga Chelsea, kashampiga Liverpool na arsenal. wakasema sasa Chelsea ni timu kubwa ?, swali likaja walipokutana na Chelsea man u alilala.
Sasa timu kubwa ni ipi? Kwakuwa Man u alikuwa hajakuta na na Man city tukasema labda yeye ndie anaejiona timu kubwa, haya wamekutana leo na man u amelala,
Sasaivi mashabiki wamebadilisha msemo na sio tena timu kubwa bali usemi umekuwa : City can’t sustain hii pace mpaka mwisho.
1. Fine hajakutana na timu kubwa,
2. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho
3. .....atafungwa na ki timu chaa
ni makocha wawili tu epl wanaojua mpira.....pep na mauricio pochetino

kweli mkuu
 
Nani kamfunga city tuanzie hapo kwanza kabla hujaanza na kocha makini acha mou ajenge timu yake mi ntamponda 2019/2020 aliikuta timu taabani sana
Mou kasema haya : “When you see Man City play you expect them to score great goals, not two disgraceful goals. They’re the last goals you expect to concede against them.”
hahahhahahaha anaijua city
 
Man Utd boss Jose Mourinho has conceded the Premier League title race is “probably” over
25152293_10155947853693598_928445583914909048_n.jpg
 
Top 4? Chifu, niaje timu iliyo nafasi 2 unataka ipambane kwa top 4? Ligi bado hii. City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.

Bado 22 games, you cannot throw the towel now, United cannot throw the towel now. A lot of things can happen: injuries, suspensions etc., kwa hiyo labda kama umeamua kufurahisha genge kusema ati ligi imeisha, wakati hata half way haijafika.

Ha ha! Halafu sikujua kama ni wewe kashengo naona umetoka mafichoni! Vipi, [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] or [HASHTAG]#WengerIn[/HASHTAG]


mi nipo Sie tushakubali mpaka wenger aende zake ndo turudi jukwaani kupiga ngenga....

Najua unakuwaga na roho ngumu uko Positive sana...apart kuwa Bado mko kwenye Race namaanisha kuwa Apparently Point 11 ni nyingi sana sana

Walau unatakiwa upige 10 winning run of games za EPL kuwapa Presha ikiwa kama ni kuwakamata

Jambo ambalo mazee ni Gumu sana

Umesema watapoteana kwenye mashindano mengine? kumbuka nawe unayo (UCL/FA/EFL CUP) so they may loose form or get a Defeat lakini Pia nawe utazipata

Kuna kazi sana kufanya Catching up mzee mtihani sana
Top 4? Chifu, niaje timu iliyo nafasi 2 unataka ipambane kwa top 4? Ligi bado hii. City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.

Bado 22 games, you cannot throw the towel now, United cannot throw the towel now. A lot of things can happen: injuries, suspensions etc., kwa hiyo labda kama umeamua kufurahisha genge kusema ati ligi imeisha, wakati hata half way haijafika.

Ha ha! Halafu sikujua kama ni wewe kashengo naona umetoka mafichoni! Vipi, [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] or [HASHTAG]#WengerIn[/HASHTAG]
 
Mashushushu mekundu kudadeki zenu naona sumaku inaanza kuwavuta kuwarudisha kunako nafasi yenu
Nyambaf mnafikir EPL ya baba yenu ya kwenda na matokeo yenu mkononi uwanjani
Kisa karekodi ka kipumbavu eti cjui hatujafungwa kwenye kidimba chetu hiyo ndo city na huyo ndo pep pasua kichwa.Palepale kwenu mnasagwa.
Tatizo mnaongea sana soka uwanjani vinunche
Mkae mkijua bado pointi chache tu mshushwe huko kusiko wahusu
Manchester kuna timu moja tu,Manchester city.
Pumbav KBS!!!!!!?!??????


sent from my xm udongo using jf app
 
Race is wide open!! kila kitu kinawezekana

Kinacho hofiwa tu nadhani italazimika City Kusucrifice baadhi ya mashindano kwa expense ya EPL

FA cup/EFL wabaki na UCL/EPL

wakijifanya mtaka yote inakula kwao
 
Back
Top Bottom