Ubumuntu
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 14,382
- 10,951
Top 4? Chifu, niaje timu iliyo nafasi 2 unataka ipambane kwa top 4? Ligi bado hii. City hawezi kucheza hivi mpaka msimu unaisha. Labda kama aamue kuweka nguvu zote kwenye EPL! Bado yupo FA na UCL, kumbuka.Mdudu Nzi pole buana.....Jamani Point 11 ni parefu Tupambaneni na Top 4 tu
They are so Good by miles
Bado 22 games, you cannot throw the towel now, United cannot throw the towel now. A lot of things can happen: injuries, suspensions etc., kwa hiyo labda kama umeamua kufurahisha genge kusema ati ligi imeisha, wakati hata half way haijafika.
Ha ha! Halafu sikujua kama ni wewe kashengo naona umetoka mafichoni! Vipi, [HASHTAG]#WengerOut[/HASHTAG] or [HASHTAG]#WengerIn[/HASHTAG]