We will be OUTPLAYED in midfield.....Rashford au Martial angetoka kumpisha Mata au Mikhi.Kikosi cha mauaji
De Gea; Valencia (c), Smalling, Rojo, Young; Matic, Herrera; Rashford, Lingard, Martial; Lukaku.
Hongereni. Ila ungesubiri kidogo mkuu.Man u 3-1 manct
We will be OUTPLAYED in midfield.....Rashford au Martial angetoka kumpisha Mata au Mikhi.
Ni kweli mkuu. Najiegeneza kwenye advantage ya kuwa nyumbaniSuala la msingi sio kuwa away au home, kinachohusika ni mwisho wa siku umevuna nini
*Kwani Man Utd mechi yake ya mwisho kwenye ligi alichezea Old Traford ? matokeo yakawaje?
Katikati tutakuwa na watu wawili Matic na Herrera tu, Martial na Rashford muda mwingi watakuwa pembeni na Lingard will be all over the place as a 10!Yeah jambo hilo linaweza kutokea, ila hata nao City ITABIDI waweke watu wengi nyuma wakipeleka watu wengi mbele itakula kwao
Hhaha mkuu leo mkosi tu asubuhi na mapema kimenuka kwa mchepuko..kuna bwege ananidai pesa kitambo najua kasahau leo kanikazia..nimetandika mkeka mchana arsenal kachana. Sasa na man u akipigwa ndiyo nitajua kwa nini alikiba aliimba "maumivu per day"
Leo naona hakuna kupaki basi...Kikosi cha mauaji
De Gea; Valencia (c), Smalling, Rojo, Young; Matic, Herrera; Rashford, Lingard, Martial; Lukaku.
Game n saa moja au saa moja na nusu
Refa mzuri.Huyu refa wa mechi yetu kesho michael oliver alivyo na maamuzi ya kipuuzi lazima city watapata penalty. Kwa namna city hasa sterling wanavyojua kujiangusha kwenye eneo hatari lazima penalty itokee. Huyu refa huwa simpendi, anatoaga penalty na kadi za ajabu ajabu sana.
Saa moja na nusu....Game n saa moja au saa moja na nusu
Mikhi hajawahi kucheza vizuri big match tangu atue United,last season game ya City alichemsha sana akatolewa half time.Kama Pogba au Fellaini angekuwepo angefit sana game ya leoWe will be OUTPLAYED in midfield.....Rashford au Martial angetoka kumpisha Mata au Mikhi.
Yaani leo tukimfunga man city namsamehe namsamehe mchepuko wangu kiroho safi...Penalty....Rooney scores his first goal in Merseyside Derby 1-1
Katikati tutakuwa na watu wawili Matic na Herrera tu, Martial na Rashford muda mwingi watakuwa pembeni na Lingard will be all over the place as a 10!
Mikhi hapana atapata shida...sababu pogba wa kumchezesha hayupo....atakuwa na kazi kubwa ya kufuata mipira toka chini na atashindwa kusupply mipira kwa Lukaku.....acha apumzike tu mpaka pogba arudi.We will be OUTPLAYED in midfield.....Rashford au Martial angetoka kumpisha Mata au Mikhi.