Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Defense ya City siyo nzuri sana; leo United iliangushwa na kukosa mtu wa kupeleka mashambulizi mbele.

Anyways, tuombe uzima tu, ifikapo May, tuone nani yupo sahihi.

Kiukweli kabisa leo sielewi kwanini Utd hatukutumia udhaifu huo wa City kuwamaliza

Okay tumemkosa Pogba ila still kuna watu wangeweza kufanya kazi hiyo, then yule Walker mwanzoni tuu alikula kadi kwanini Rashford /Martial wasingetumia nafasi hiyo kumkimbiza.... Kompany wa msimu huu sio yule wa misimu miwili iliyopita ila tumeshindwa ku take advantage

Hata set pieces tumeshindwa kutumia advantage ya wachezaji wetu warefu, City wengi wafupi hata kocha wao kabla ya mechi alikuwa na wasiwasi.

Kiufupi leo City hawakutakiwa wapate hata point moja, ila iliandikwa washinde tuu
 
Duh afadhali nikae kimya

Duh mwaka wa 13 huu unakwenda no Ubingwa wa Premier League, ndio maana mna uchungu sana na Utd
Hahahaha usipoteze mada kijanja tulia ukandwe
Bado pointi 6 tu nikushike
Ww nafasi yako inajulikana
Hujakutana na timu ving'ang'anizi bado
Pole yako
 
Hahahaha usipoteze mada kijanja tulia ukandwe
Bado pointi 6 tu nikushike
Ww nafasi yako inajulikana
Hujakutana na timu ving'ang'anizi bado
Pole yako

Boss wewe unatakiwa uwe na wasiwasi na Burnley na Leicester sio timu za Manchester, hizo zipo kina kirefu

1 Man City 16 15 1 0 37 46
2 Man United 16 11 2 3 25 35
3 Chelsea 16 10 2 4 15 32
4 Liverpool 16 8 6 2 14 30
5 Arsenal 16 9 2 5 10 29
6 Tottenham 16 8 4 4 14 28
7 Burnley 16 8 4 4 3 28
8 Leicester 16 6 5 5 1 23
 
Boss wewe unatakiwa uwe na wasiwasi na Burnley na Leicester sio timu za Manchester, hizo zipo kina kirefu

1 Man City 16 15 1 0 37 46
2 Man United 16 11 2 3 25 35
3 Chelsea 16 10 2 4 15 32
4 Liverpool 16 8 6 2 14 30
5 Arsenal 16 9 2 5 10 29
6 Tottenham 16 8 4 4 14 28
7 Burnley 16 8 4 4 3 28
8 Leicester 16 6 5 5 1 23
Ww tulia Manchester city ashakuacha
Ww na Mm c pointi sita tu
Mechi mbili tu unasagwa bac kazi kwisha
Yaani mi nakutaka ww nikushushe halaf second leg nikunyoe swaaaaafi kabisa
Cjui hiyo uefa utaqualifyije
NB;Ubingwa sahau kabisa

sent from my xm udongo using jf app
 
Ww tulia Manchester city ashakuacha
Ww na Mm c pointi sita tu
Mechi mbili tu unasagwa bac kazi kwisha
Yaani mi nakutaka ww nikushushe halaf second leg nikunyoe swaaaaafi kabisa
Cjui hiyo uefa utaqualifyije
NB;Ubingwa sahau kabisa

sent from my xm udongo using jf app

Hahahaha hahaha duh

Ukitaka kupata kichekesho hiki bonyeza x7296x1q

Sio tuu wachezaji wa Arsenal wanajua jambo hili, sio tuu Arsenal Wenger anajua jambo hili bali pia hata Stan Kroenke anajua kabisa tarehe 28/04/2018 ndani ya Old Traford Man Utd anamalizia kuchukua point 6 zake za kila msimu kutoka arsenal {Ndio raha kuwa na matawi yako kwenye ligi... yes Arsenal ni tawi la UTD}

Kwahiyo technically UTD wameipita Arsenal point 9 mpaka sasa {ukizijumuisha na point zetu 3 za tarehe 28/4}

Sasa ni matumaini yangu darasa litakuwa limekuingia vizuri

*Kroenke ndio tajiri yenu
 
Man Utd boss Jose Mourinho has conceded the Premier League title race is “probably” over
25152293_10155947853693598_928445583914909048_n.jpg
Hapa naamini ni bahati kubwa mno angalia vigoli vyao vya hovyo hovyo tu umemgonga lukaku mara li bek limekutana nao jana niameamini bahat ipo mpirani hamna cha mipango bado sijaona best team ila ni bahat tu hata ile pressing ya kawaida mno sio kama ya liverpool wanaojua mpira wataelewa hili
 
Manchester united hainatofauti na njombe mji

Kumbe njombe mji wazur hata madrid hafikii kwa utajir wao kwa sasa brand yao kubwa njombe mji ile nafas wanayoshika itakuwa figisu za marefa


Ila hizi post Huja baada ya matokeo kabla mnajificha vichakani mkiyapata mnakurupuka kuja hapa
 
ROMELU LUKAKU had a Manchester derby to forget after gifting Manchester City two goals at Old Trafford.


Lukaku turned a Kevin de Bruyne cross towards his own goal and David Silva pounced to score City's opener before half-time.

He then made a hash of clearing a cross from Silva in the second-half, with his punt clear from inside the area smashing into the back of team-mate Chris Smalling and landing at the feet of Nicolas Otamendi, who fired City back in front after Marcus Rashford earlier pulled a goal back for the hosts.

Man Utd's fans were not happy with the Belgian bruiser after his error-strewn display.

"Romelu Lukaku single handily ending our title hopes and giving it to City. sell him" one fan wrote on Twitter.


Tuendelee kumvumilia tu hamna namna.
 
Hata enzi za Fergie, Man alistruggle kumfunga City km mtani lakini pia timu km Arsenal na Liverpool. Japo siyo ishu, ushindi ilikuwa muhimu.
 
Hii wiki mtoa roho alikuwa anazungukia kila timu alianzia darajani amemalizia OT.
 
Ukiwa unashangilia hiv uwe unajiuliza kakuacha point ngap city labda ubingwa uwe hauutak uishie kushangilia goli za salah may unapigania top 4


Mimi Kabla Ya Ligi Kuanza Kama Utafatilia Comments Zangu Kwenye Uzi Wetu Basi Nilisema Kwa Kigenge Tulichonacho Hatuna Safari...
Na ilipoanza Ligi tu Nikajua Wazi Kuwa Man City Ndiyo Wenye Timu Ya Ushindani na Kuchukua Ubingwa
....

Na Nikajua Wazi Kuwa Man United Wana Timu Bora Kuliko Man City Lakini Nikajua Wazi Kuwa Mourinho Ni Obstacle Ya Man United Kuchukua Ubingwa
...
 
Ww tulia Manchester city ashakuacha
Ww na Mm c pointi sita tu
Mechi mbili tu unasagwa bac kazi kwisha
Yaani mi nakutaka ww nikushushe halaf second leg nikunyoe swaaaaafi kabisa
Cjui hiyo uefa utaqualifyije
NB;Ubingwa sahau kabisa

sent from my xm udongo using jf app

Arsenal bhana! 😀 😀 😀
Nina uhakika Washabiki Wake Wengi Hapa Bongo Wamepitia Mirembe!!!

Hata Liverpool na Chelsea Wanawaza Kushushana Wao Kwa Kwa Wao na sio Kumshusha Manchester!!! Lakini Arsenal Wanawaza Kumshusha Manchester wakati Ndiyo Timu pekee Kwenye Top 6 inayompa Points 6 huyo Manchester.. 😀 😀 😀
 
Back
Top Bottom