Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Chifu, ingawa nami pia siyo shabiki wa José, lakini katika hili sikubaliani nawe.

Ndiyo, tactics leo hazikuwa sawa. Lakini huwezi kum-dismiss José kwa stats za leo. United ya SAF ilipigwa 6-1 na City hapo hapo OT. Unakumbuka stats zake? Unakumbuka stats za Barća vs. United UCL Finals?

Binafsi, naridhika sana na anachokifanya José. City have the best form in EPL, kama siyo kwenye ligi zote za Ulaya kwa sasa. Kufungwa na City, kunauma sana, lakini siwezi kusikitika sana pia.

Pengo la Pogba naona hujaliongelea! Yeye ndiye best United player, ukimtoa DDG. Kumkosa kwenye game dhidi ya on-form City siyo jambo dogo.

Ligi bado. City can’t sustain hii pace mpaka mwisho. Pace ita dip pale mechi zitakapoanza kujazana kwenye mashindano anayoshiriki.

So, keep it positive and optimistic bruv.

[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Mkuu umeongea ya maana sana. Kama ukiniuliza kocha gani ana akili pale uingereza nitakwambia Mourinho. Jamaa mbinu zake ni nzuri sana na ni fundi wa kuusoma mchezo for sure. City sijaona makali yako japo katufunga na hizo possesion ndiyo mfumo wa gadiola hata afungwe ataongoza kwa possesion.
Tatuzo kwetu naliona kwa wacgezaji tu bado baadhi hawako na ile roho ya kiushindani zaidi na for sure mimi simkubali lukaku akiwa kama mshambuliaji ambae anaweza kumiliki mpira kufanya drible za maana na kuleta madhara.
Inabidi tuweke mapenzi pembeni kwa lukaku jamaa inabidi awe mtu wa kutegemewa na sinkutegemea.
 
wachezaji ukiacha individual mistakes wanacheza kulingana na
maelekezo ya kocha.
city wanafungika ukicheza Mpira...na wachezaji wa kufunguka wapo utd y asiwatumie?
Mata kacheleweshwa ndio.. But mou aliliona hilo la kumuingiza mata mapema kiungo kitakuwa weak as hana holding at least mtibuaj fellain angekuwepo au pogba... Herrera na matic wanacheza chini sana na pasi fupi kitu ambacho kilifanya mipira ya juu leo kuwa micahache... Pia wing ya martial na young kidogo haikuchangamka as city walikuwa wanakaba nafas ya martial na mwiaho wa sku young akawa anawaza back pass.. Creativity ya game kubwa kama hii tumekosa kiungo cha pogba na wing inayokaba na kudrible..
 
Lukaku bado mdogo sana.Ni mchezaji mzuri ila bado sana kufikia ile quality inayoitajika pale OT ajafikia.

Atujapoteza ela tumpe misimu kama 2 ivi ili afikie quality ya drogba.

Kwa sasa mourinho ajishushe tu na Lukaku aanze kugombania no pale,akiwa form aanze lakini akizingua kama ivi ale bench kama kina Mickh.

Sioni sababu ya kulazimisha kila mechi acheze 90,atatucost sana.

Fatilia historia ya kina drogba,Costa na ata rvp...kipindi under 25 walikua wanazingua sana tuu.

All in all bado naamini Lukaku atakuja kuwa Bonge la Striker apo mbeleni.
 
Pengo la Pogba kubwa sana aisee daa


24294226_2085039988179765_8007250605310966395_n.jpg
 
soton waliwatoa jasho mpaka goli la sekunde za mwisho ndio liliwapa pointi3 na kikosi chao cha kawaida tu vp sie tulio na kikosi bora na wachezaji wapambanaji kila idara
city anakufa 2-0.....uje hapa kuqoute baada ya mechi
Mkuu matokeo umeyaonaaaa au umesahau uliniambia nije hapa nikukumbushe
 
City kacheza ilimradi ili kuipotezea utd focus na goli zote mbili ni dead balls na makosa ya kuclear. Nimegadhabishwa na mlima wa 11 points behind na kupotezewa rekodi nzuri ya nyumbani. City waliamua kucheza kwa kurudi nyuma sana kias penetrations za utd zikakata, why herdeson asivunjike pua kabisa.
We are still utd japo am so disapointed... Ggmu


23244514_2054895521194212_398568970828429139_n.jpg
 
Back
Top Bottom