Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,178
- 37,475
Tangu mwanzo nilipinga sana ujio wa Jose lkn wapo waliomshangilia ungefikiri hawajui nini angefanya.
Identity ya Man Utd imepotea kabisa yaani uwanja wa nyumbani possession mnazidiwa,shoot on target mnazidiwa yaani kila kitu mnazidiwa tena isitoshe team imekuwa predictable kuliko wakati wore.
It's high time decisions maker walaliona hili mapema.Majuzi Westharm pamoja na kufungwa lkn walicheza mpira leo Jose anakuja mbinu za kijinga
Identity ya Man Utd imepotea kabisa yaani uwanja wa nyumbani possession mnazidiwa,shoot on target mnazidiwa yaani kila kitu mnazidiwa tena isitoshe team imekuwa predictable kuliko wakati wore.
It's high time decisions maker walaliona hili mapema.Majuzi Westharm pamoja na kufungwa lkn walicheza mpira leo Jose anakuja mbinu za kijinga