Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,851
Damu damu
Umetoka Arsenal au Liver?
Damu damu
Nilianzia hapa hapa mkuuUmetoka Arsenal au Liver?
Nilianzia hapa hapa mkuu
Usishangae mkuu!! Kuna rafiki yangu ni shabiki wa Aston villa.Ahaha sawa mkuu.
Amen, leo ushindi kama kawaida.Nawatakia mchezo mwema ndugu zangu!
Man City wameisha choka(rejea mechi 3 za mwisho)ni muda muafaka sasa kuwaweka kibra!
Mungu awabariki sana Man U leo
Mshinde!
Nani bado hapa hayaogopi Majogoo
labda kama unaizungumzia Man Utd ya NzegaMan united wana forward butu sana.........Man City forward yao ni kali sana..........leo hata man u wakipaki basi haisaidii lazima wafungwe tu.......sion wakuwazuia kum aguero,rahim sterling wasifunge
Derby imekuja wakati mwafakaTumewaagiza watunzaji wa uwanja wasifanye juhudi zozote kuondoa hio barafu hadi kesho saa sita mchana!
Leo kuna kilio kwa jirani yangu.United 3 City 0
KDB ON FIRE
Usishangae mkuu!! Kuna rafiki yangu ni shabiki wa Aston villa.
Man united wana forward butu sana.........Man City forward yao ni kali sana..........leo hata man u wakipaki basi haisaidii lazima wafungwe tu.......sion wakuwazuia kum aguero,rahim sterling wasifunge