Mkuu Kna timu 20 znashiriki pale,,,
Timu kama 6 Ukianza na Arsenal,, Liverpool,, Spurs,, Chelsea,,Man City,, na Man Utd zote znapigania ubingwa na nafasi Nne za juu..
Ili Basi uwe bingwa inakupasa kwanza usifanye makosa pindi unapokutana na timu ambazo tunaweza sema avarage ama ndogo kabsa,,
Hicho kitu City ni kama wamekiweza,,
Pili ukikutana na mkubwa mwenzio basi unatakiwa umpunguze speed,, either umfunge ama u-droo
Hiki kitu pia City wamekiweza hadi sasa,,..
Yote hayo ni pamoja na ubora wa kikosi cha City.
Sisi bado kiasi chake Mkuu,,makosa bado mengi,, Baka na AM wangeongeza chumvi kidondani kama wangekuwa makini zaidi..
Ubingwa wa EPL umeshakua mgumu hasa wakati huu ambao PG ypo pale,,, tena akiwa na resources za Kiarabu,, si rahis sana kumshinda,,
Ila cha mhimu kujipanga Wakuu,, nlichogundua ndio maana wachezaji wanagawanywa katika makundi ili hali wanacheza mchezo mmoja,,, PSG sio wendawazimu kuweka mizigo mezani kununu WC Players,, hawa avarage Players ndio wanaigharimu timu,,, Bernado Silva ypo benchi pale city,, Draxler,,Pastore,,Moura,, na hata dgo Rabiot wapo benchi Pale PSG,,, kna Bale nao hawana namba za kudumu huko Bernabeu,, Sie tunataka Kna Mkhi watubebeshe Ubingwa??
SAF's era are Over... Pesa itumike kuleta furaha,,
Other wise [HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]