Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Naona leo ule umoja wa wale wasio mashabiki wa MUFC wamehamia humu kabisa.. 😀😀😀😀 MUFC ndio timu yenye washabiki, timu nyingine zinashabikiwa na wenye chuki na MUFC!
Wanazingua sana inaonyesha wanasomaga comments

COLEWORLDLOVESYOU
 
d4859f27ad3d5c8a5dd17773a14977aa.jpg
 
Hii ndio dawa na fundisho kwa mourinho aache kumfananisha Rashford na takataka Marrtial au Mata na takataka Mkhitaryan. Unamtoa Mata eti Mkhitaryan azibe pengo lake????? Maajabu
 
Kuna watu ukiwasikiliza na ukiona ni nini timu inafanya unaweza kuwatukana. Mpaka sasa hatujapoteza mechi yoyote kwenye Epl na UEFA, uyo mtu anatoa wapi nguvu ya kusema tumepoteza identity yetu?
Kuna watu hawakupenda yale matokeo ya Liverpool, walikua wanasubiria tufungwe halafu wapate ya kuongea. Tatizo hatukufungwa ndio maana wana weweseka.
Leo mumechezea kipigo na timu yenu mbovu..!
 
Mourinho: “I don’t even remember a friendly match where our attitude has been so poor.”

I hope that lost is atleast wake up call ahead of some tough fixtures. Clearly Mourinho is unhappy, not with the loss, but with the way we lost. Up to him to shake and wake up his players now.

[HASHTAG]#Ritish[/HASHTAG]
 
martial leo wamezingua sana kanikumbusha ile mech aliyocheza hovyo ya watford tuliyopigwa mwaka jana
 
Hii ndio dawa na fundisho kwa mourinho aache kumfananisha Rashford na takataka Marrtial au Mata na takataka Mkhitaryan. Unamtoa Mata eti Mkhitaryan azibe pengo lake????? Maajabu

mata hakuwa na gem nzur ila martial toka mwanzo nlishasema homa ya vipind wachezaj kama hawa wa sokon tu leo linacheza vizur kesho hujui litaamkaje
 
Back
Top Bottom