Point lessNinachofurahi ni kwamba baada ya kufungwa sisi mashabiki wa MUFC hatujaumia kama walivyoumia hawa wasio na timu za kushabikia!
Msio na timu za kushabikia mnahaha kupita maelezo!
sema kweli mkuu hujaumia? Mungu anakuona ujue viwili vyote vile hujaumia?😱Ninachofurahi ni kwamba baada ya kufungwa sisi mashabiki wa MUFC hatujaumia kama walivyoumia hawa wasio na timu za kushabikia!
Msio na timu za kushabikia mnahaha kupita maelezo!
*BREAKING NEWS*
*JOSE PARKED BUS IN WRONG GARAGE*
![]()
Ninachofurahi ni kwamba baada ya kufungwa sisi mashabiki wa MUFC hatujaumia kama walivyoumia hawa wasio na timu za kushabikia!
Msio na timu za kushabikia mnahaha kupita maelezo!
Kisu kimegonga mfupa,pole sana wewe shabiki wa kuichukia MUFC😀😀😀Point less
Mbaya sana kumpiga bench lukaku kwenye game kama hzLeo Ukawa wamekuja kuweka kambi uku.
Leo dakika zilikuwa 100Leo Ukawa wamekuja kuweka kambi uku.




Yamekua hayo mkuu?Kuanzi gemu na liva manchester wameanza kuzingua, hua najiskia kichefchefu ata kuwaangalia, hata hiyo gemu ya uefa tulishinda kibahati tu, morinho si kocha ni mbabaishaji tu
Lingard,young na smalling hawa nuksi 2
Linda off ameshindwa kulinda goli