Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Supercomputer imetabiri tutashinda 2-0..cant wait to prove it wrong cuz 4G ndo mpango mzima
 
Wakuu personally naona km HENRIKH MKHITARYAN anahitaji kupumzishwa kidogo maana moto wake umepungua sana siku hizi ukilinganisha na alivyoanza msimu..Asipocheza km mechi mbili hivi nahc itakuwa poa sana kwake maana atarudi akiwa fresh na nguvu mpya km mwanzoni vile..au mnaonaje wakuu..
Tena ingekuwa mie ndo mpanga kikosi...martial angecheza nyuma ya Lukaku. Endapo akiamua Mikh apumzike. Alafu juan mata namuweka atoke wing ya kushoto.
 
Huwaga martial akiharibu mou anaponda sana lakini micki kama gemu tatu anakimbia kimbia tu.
Ndugu yangu wa kilimanjaro Martial mou anamuonea sana.
 
Naona rumours za Ozil kuja United zimeshika kasi....jamaa ana jicho la pasi ya mwisho sana ila analaumiwa kwa kutojituma.
Suala la kutojituma linategemea na kocha anayemfundisha Wenger tunamjua hana habari na mtu.Kipindi Ozil anafundishwa na Mourinho ndio amepata mafanikio binafsi sana makubwa sana misimu 3 akiwa chini ya Mourinho Ozil alitoa assist 28,29,24 tangia hapo hajawahi kufika hizo rekodi tena
 
Suala la kutojituma linategemea na kocha anayemfundisha Wenger tunamjua hana habari na mtu.Kipindi Ozil anafundishwa na Mourinho ndio amepata mafanikio binafsi sana makubwa sana misimu 3 akiwa chini ya Mourinho Ozil alitoa assist 28,29,24 tangia hapo hajawahi kufika hizo rekodi tena
Nimeangali Real Madrid wakati Ozil yuko huko, sijaona akijituma. Style yake ya mpira ni hio hio. Sometimes ndio style ya mtu wala sio kocha, ndio maana Mata yuko vile vile leo na Mourinho hakumpenda alivyokuwa Chelsea. Ila Mou sasa ndio kabadilika akijua ni mechi inahitaji kujituma sana hampangi anaweka watu wa kazi badala ya kumlazimisha acheze style isio yake.
 
244aad18555b28b79f2a5c83780c5cc1.jpg


Lineup ya leo
 
Ndiyo Ninauhakika wa Hilo Na Ndiyomana Sikusema Wote, bali nimesema wengi wao kwa Sababu wako na Baadhi ya Wachache Walihama Man United na Liverpool Kuja Chelsea...

Kambla Ya Kuja Muarabu na Hela Za Mafuta Man City Haikua na Mshabiki Bongo/Tanzania/Zanzibar! Sasa Jiulize Hivi Vijishabiki Vyake Vimetokea Wapi Kama Sio Chelsea yani Wale Wale Waliohama Arsenal na Man United kwenda Chelsea, Wakaamua Kuhama Tena Chelsea Kwenda Man City...
Nyie Ni Watu Musiojua Mpira Kwahiyo Kazi Yenu Kuhama Hama tu Kukimbilia Timu yenye Mafanikio Kwa Wakati Husika...
Sasa Nishaanza Kuwaona Washabiki Wa Spurs mmoja mmoja na ninaamini ndiyo nyinyi...

Mkuu Kabla ya Mrusi Kumwaga Hela Chelsea Hakukuwa na Mshabiki Wa Chelsea Hapa TZ hapakuwa na Mshabiki wa Chelsea bali Kulikuwa na Wa Liverpool, Arsenal na Man United! Kwa sababu Kwa Wakati Huo Chelsea Haikuwa Timu Kubwa bali ilikuwa sawa na West ham na Bolton tu, kwani Hata Everton na Aston Villa
zilikuwa Zipo Juu Yake..

Kwahiyo Chelsea na Washabiki Wake Wote Wameanza 2005.. Ndiyo hapo ikajikusanyia Washabiki Magarasa..

Mimi Nipo Zenji na Katika Camp/Kijiwe Yetu Ya Kuongelea Soka Huwa Haturuhusu Mshabiki Wa Chelsea Kuonge Chochote Kwani Tunawajua Kuwa Ni Watu Wasiojua Mpira hawana Uwelewa wowote Juu Ya Mpira bali Pumba tu na Kujisifu kiasi Ya Kwamba Ukiwauliza Hata Formation inayocheza Timu yoa Hawaijui bali wanachojua wao ni Hazard Kapiga Chenga tu...

Hebu Angalieni Michango yenu Katika Nyuzi Munazotembelea Nyinyi washabiki wa Chelsea utaina Upuuzi tu
tu na Kujisifu..

Hata Katika Kile Kijithread chenu yani Mumekaa kama ma-MC mnapiga mayowe lakina hamna cha maana Munachopostst..
Hakuna mashabiki wabovu wa mpira kama wa Liverpool ...wao wanachojua ni historia tu hakuna kingine.. na kukariri majina ya wachezaji. Muchknow sana halafu wengi wenu mnaonekana pale timu inapofanya vizuri tu ...

Hivyo mim siwezi kubishana na wewe maana ni wale wale tu. ..
 
Back
Top Bottom