Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG_20171019_124030.jpg
 
1111016.jpg



“Professional job done. A really good away performance.”

Phil Neville offers his verdict on Manchester United's 1-0 Champions League win over Benfica
However, Neville wasn't concerned by the fact United didn't blow Benfica away.

Neville said: "Professional job done. A really good away performance. They've dominated the second half
 
Wakuu kuna mchambuzi wa soka mmoja wa UK anasema "UNITED HAS LOST ITS IDENTITY UNDER JOSÉ MORINHO" je kuna ukweli wowote hapo wakuu..au jamaa amezngua!.
 
Wakuu kuna mchambuzi wa soka mmoja wa UK anasema "UNITED HAS LOST ITS IDENTITY UNDER JOSÉ MORINHO" je kuna ukweli wowote hapo wakuu..au jamaa amezngua!.

Kuna watu ukiwasikiliza na ukiona ni nini timu inafanya unaweza kuwatukana. Mpaka sasa hatujapoteza mechi yoyote kwenye Epl na UEFA, uyo mtu anatoa wapi nguvu ya kusema tumepoteza identity yetu?
Kuna watu hawakupenda yale matokeo ya Liverpool, walikua wanasubiria tufungwe halafu wapate ya kuongea. Tatizo hatukufungwa ndio maana wana weweseka.
 
Kuna watu ukiwasikiliza na ukiona ni nini timu inafanya unaweza kuwatukana. Mpaka sasa hatujapoteza mechi yoyote kwenye Epl na UEFA, uyo mtu anatoa wapi nguvu ya kusema tumepoteza identity yetu?
Kuna watu hawakupenda yale matokeo ya Liverpool, walikua wanasubiria tufungwe halafu wapate ya kuongea. Tatizo hatukufungwa ndio maana wana weweseka.
Big pointi
 
Press conference key points

•Rashford and Jones fit for Huddersfield

•Eric Bailly and Pogba not fit

•Zlatan to return before the end of the year

•Shaw is working

•Mourinho won’t speak about the January window this early
 
Wakuu personally naona km HENRIKH MKHITARYAN anahitaji kupumzishwa kidogo maana moto wake umepungua sana siku hizi ukilinganisha na alivyoanza msimu..Asipocheza km mechi mbili hivi nahc itakuwa poa sana kwake maana atarudi akiwa fresh na nguvu mpya km mwanzoni vile..au mnaonaje wakuu..
 
Wakuu personally naona km HENRIKH MKHITARYAN anahitaji kupumzishwa kidogo maana moto wake umepungua sana siku hizi ukilinganisha na alivyoanza msimu..Asipocheza km mechi mbili hivi nahc itakuwa poa sana kwake maana atarudi akiwa fresh na nguvu mpya km mwanzoni vile..au mnaonaje wakuu..
It's true, ila ile namba pale mbadala ni mata peke yake ambapo tunamtegemea kucheza kulia... Ingawa binafsi naamini rashford anaweza kucheza pale na akafanya mambo.
 
Back
Top Bottom