Bahati mbaya hakuna timu isiyopoteza mchezo tumefanya makosa mawili imetugharimu tusikate tamaaPoint 5 nyuma ya city halafu tuna totti na chelsea![]()
..kwa mchezo huu tunaweza kujikuta out of top 4 mpaka december.
Atukuyajua hadi yametokeaMwanzo wa msimu hamkuyajua haya
asiyekubali kushindwa si mshindani. Bahati haikuwa yetu Mkuu.Kina musolini mkuriya org leo mtaipatapata leo
Mkuu tulia we mwenyewe si umeponea chupuchupu ukiwa nyumbani.Kina musolini mkuriya org leo mtaipatapata leo

Mnara umeyumba kidogo.....!!!Halotel haishiki kabisaWazee wa 4G vipi mpo kwenye matengenezo ya mnara?