Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hongereni kwa kumcheka mamba ilhali hamjavuka mto bado...

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahha haniiii habari za masikuuuuu!!!! Acha methali zako bana weeeee ukipata furahi ukikosaaaa jutia!!! Unafikiri kesho mkishindwa sitakujja kucheza singeli?? Kila siku ni mpya na mambo yake.....kuna siku hata mamba wanaendaga kuota jua unavuka kiulainiiiiiii
 
Lukaku hapati mipira ya kutosha...

Pogba naona bado amesahu anacheza nyuma zaidi... angalau kidogo baada ya kupata maelekezo ya Mou dk 15 za mwisho kipindi cha pili kapanda kidogo na timu imeamka.

Madrid bado hawajapata kashikashi za kutosha wakipelekeshwa dk 3 mfululizo kuna gori mbili pale naziona kabisaaa... Nadhani Lingard anapaswa kumpisha Rushford. Mik wa leo kalala sana si mbaya Martial akapiga jaramba kwaajili yake.

Bado ninamatumaini makubwa na ushindi

GGMU GGMU GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
Ahahaaaaah...
 
#To all Haters leo Leo tunavunja tanga kwahiyo tukimaliza mazishi msionekane tena humu tutakuwa na tanga ndugu tujadili mambo yetu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Naona jirani leo zamu yako kutoa maiti ndani,kama jirani nitarudi kesho nina uhakika mazishi bado tunasubiri ndugu waje ila nakushauri mpeni mkata Ibra uyu Lukaku ataharibu sherehe ya kipaimara chenu.
 
a0fada81eaa4a64500439111af15ad2d.jpg


5feda9e17797fb1c4147beb3e88e0a3c.jpg
 
Wanasemaga washabiki wa man u wanamaneno sasa huo usemi umethihilika Leo maana kuna kundi kubwa la m23 limekuja humu lakini limepokea majibu MAGUMU kutoka kwa man u fans!

Kuna mmoja kamwambia mwenzake eti soon atakuwa DELICIOUS😀

GGMU

Good night to all man u supporters in this thread🙂
 
Back
Top Bottom