Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Glory Glory Manchester United !!!

This was one one I test my microphone ,nimegundua hii Mic itakuwa na shida ya vumbi so far life goes on .....turudi kwenye ligi.

Kama nawaona haters wanavyokuja kwa kasiiiiij hahhaha!!!! hata msije wafiwa sisi huwa tunajiweza kama wanyakyusa vile tunalia na kucheza Hahahhaha....

cute b come this way ni singeli tu......ila Leo tunapiga praise and worship hahahhahaha kwa kila Jambo ni kushukuru.
 
Mou gamble yake ya kumuanzisha lingard imetucost!tumekutana na timu ambayo tayari imeshatengenezwa zaidi ya miaka miwili,sisi ndo tunaanza kuunda timu!!all in all tuko vizuri na very promising!
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Hahahhaha wamenifunga kwa shida sana yaani viwili tu wamepiga kwa taaabu sanaaaa,yaani kwa tabuuuuu sana,bao mbili tu kwa shidaaaaaaa sananaaaaaaa!!!!! Wakaniinamisha nikakataaa kwa tabuuuu sana,viwili nami nikajibu kimoja,Si umeona eeeeeej yaani bao mbili kwa tabuuuuuuu sanaaaaaaaaa........Hahahhaha udumu Joti kwa Comedy zako!!!!
 
Glory Glory Manchester United !!!

This was one one I test my microphone ,nimegundua hii Mic itakuwa na shida ya vumbi so far life goes on .....turudi kwenye ligi.

Kama nawaona haters wanavyokuja kwa kasiiiiij hahhaha!!!! hata msije wafiwa sisi huwa tunajiweza kama wanyakyusa vile tunalia na kucheza Hahahhaha....

cute b come this way ni singeli tu......ila Leo tunapiga praise and worship hahahhahaha kwa kila Jambo ni kushukuru.
Waelekeze watu kaburi la kuzikia ni wapi wachimbe mamy

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom