Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1502221328229.jpg
 
Lukaku hapati mipira ya kutosha...

Pogba naona bado amesahu anacheza nyuma zaidi... angalau kidogo baada ya kupata maelekezo ya Mou dk 15 za mwisho kipindi cha pili kapanda kidogo na timu imeamka.

Madrid bado hawajapata kashikashi za kutosha wakipelekeshwa dk 3 mfululizo kuna gori mbili pale naziona kabisaaa... Nadhani Lingard anapaswa kumpisha Rushford. Mik wa leo kalala sana si mbaya Martial akapiga jaramba kwaajili yake.

Bado ninamatumaini makubwa na ushindi

GGMU GGMU GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah. Game nzuri sana. Tumeusoma mchezo vizuri sana. Naimani mabadiliko yanakuja fasta. Japo naona Pogba, Lingard na Miki kidoooogo wanabidi kukaza. Maana Lukaku hapokei kabisa mipenyezo. Pogba hana concentration akiwa na mpira hasa eneo la hatari. Lingard mara nyingi naona anashindwa linda mpira. Anyway Mou can see more.
 
Naona Fellain anabidi aingie badala ya Pogba, Martial amtoe Lingard then dk ya 70 aingie Mata badala ya Miki
 
Tunacheza vizuri nafasi ya kusawazisha ipo martial aingie kwa Lingard baadae mikky atoke Rashford aingie.
 
Back
Top Bottom