Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Glory Glory Manchester United !!!

This was one one I test my microphone ,nimegundua hii Mic itakuwa na shida ya vumbi so far life goes on .....turudi kwenye ligi.

Kama nawaona haters wanavyokuja kwa kasiiiiij hahhaha!!!! hata msije wafiwa sisi huwa tunajiweza kama wanyakyusa vile tunalia na kucheza Hahahhaha....

cute b come this way ni singeli tu......ila Leo tunapiga praise and worship hahahhahaha kwa kila Jambo ni kushukuru.
Wamefungwa domo zao na Lukaku maana saivi ni Lukaku vs Harmorata

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mou gamble yake ya kumuanzisha lingard imetucost!tumekutana na timu ambayo tayari imeshatengenezwa zaidi ya miaka miwili,sisi ndo tunaanza kuunda timu!!all in all tuko vizuri na very promising!
[HASHTAG]#GGMU[/HASHTAG]
Ahahaaaah...
We will see..!
 
Huyu Rashford sasa AKUE na AACHE utoto wa kukosa kosa magoli ya ajabu. Kwenye PRE SEASON alionekana kuimprove, LAKINI leo kaonyesha tena yale madudu ya msimu uliopita.

Afanyie KAZI suala la MAAMUZI sahihi. Ni issue ya mentality tu..!
 
Back
Top Bottom