wegman
JF-Expert Member
- Jan 8, 2016
- 1,470
- 2,095
Mkuu mimi naona jana ndio ilikuwa kipimo kizuri cha kujipima na Madrid kama mna timu nzuri lakini kusema msubiri mpaka mcheze na West Ham jumapili hapo sidhani kama ni kipimo kizuri kwenu ingawa West Ham nao ni wazuri ila mechi ya jana ndio ilikuwa nzuri zaidi, mbali na hapo ngoja tuone timu zitakavyo perform.Man utd timu tunayo,Madrid sio timu ya mchezo.Uwepo wa modric,casemero na kroos bila kumsahau isco na ukilinganisha wamekaa mda mrefu pamoja,inakua ni vigumu kufungika.
Hiyo ni moja ya sababu imetamba Uefa kwa misimu 2 mfululizo.Juventus ilikua inasifika kwa beki imara lakini mwisho wa siku walipigwa 4.
Yote kwa yote Matic tumelamba dumeeee... Tukutane jpl ndio mtajua man tunatimu
Hamad Rashid
:* "Real Madrid look like a team and Manchester Utd look like a work in progress."
