Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Screenshot_2017-08-09-00-58-26.png
Well he had a very tough night but I have seen his efforts
I always appreciate his work

Big thumb to BIG FELLA

nick named toilet brush😛
 
Man utd timu tunayo,Madrid sio timu ya mchezo.Uwepo wa modric,casemero na kroos bila kumsahau isco na ukilinganisha wamekaa mda mrefu pamoja,inakua ni vigumu kufungika.

Hiyo ni moja ya sababu imetamba Uefa kwa misimu 2 mfululizo.Juventus ilikua inasifika kwa beki imara lakini mwisho wa siku walipigwa 4.

Yote kwa yote Matic tumelamba dumeeee... Tukutane jpl ndio mtajua man tunatimu
 
Bandugu zote za hii jukwaa, hongera sana kwa kuisaidia Real Madrid kutwaa taji la Super cup. Ni mwanzo mzuri kwa Mou kujitambua mapema kwamba PL inaanza sasa.
 
Man utd timu tunayo,Madrid sio timu ya mchezo.Uwepo wa modric,casemero na kroos bila kumsahau isco na ukilinganisha wamekaa mda mrefu pamoja,inakua ni vigumu kufungika.

Hiyo ni moja ya sababu imetamba Uefa kwa misimu 2 mfululizo.Juventus ilikua inasifika kwa beki imara lakini mwisho wa siku walipigwa 4.

Yote kwa yote Matic tumelamba dumeeee... Tukutane jpl ndio mtajua man tunatimu
.mnatafuta sababu.
alaf huyo matic ni gari la mkaa.
Trip moja shamba ya pili gereji.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom