MI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Marco Verratti is now the client of Mino Raiola,he also represent Pogba,Lukaku,Ibrahimovic & Mikhtaryan
Inter Milan walikuwa hawataki kupunguza dau ingawa Perisic alikuwa anataka kuja United,Mourinho alikuwa anataka wachezaji 4 lakini kwenye interview ya juzi amesema hata akipata wachezaji 3 itakuwa sawa.So kuna posibility ya kusajiliwa mchezaji mmoja either winga au DM au kama kuna mchezaji atauzwaWakuu vip tena ivan perisic au ndo dili letu limebuma..??
MI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app
MI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app


nani kakuambia Madrid wanawahitaji mashabiki wa Utd?punguza hasira Lukaku ni bora kuliko Morata (nimewanukuu) tatizo umesahau ile ishu ya Degea siku ya mwisho wa usajili nakukumbusha Madrid ni baba lao kwenye magumashi ya usajili.Hahahahaaaaa kweli mkuuHiyo inaitwa mbwa kala mbwa, Morata Paundi mil 70.7 Man Utd waona hawa jamaa wanataka kutufanya majuha, yaani bench wormer Pound mil70. Ili kuwaonesha wao ni Jeuri wakaamua kutoa Pound Mil 75 kwa Lukaku na kuwaachia mchezaji wao.
Nilichojifunza hapa walijua kuwa Man Utd wako desperate so wangewaendesha wanavyotaka, wakasahau kuwa tuna Javier Ribalta kwa hiyo hakuna wa kutupiga kizembe. Ona inter milan nao wanavyotaka kutupiga kwa Perisic. Hawajui hela imekuwa ngumu siku hizi.
nani kakuambia Madrid wanawahitaji mashabiki wa Utd?punguza hasira Lukaku ni bora kuliko Morata (nimewanukuu) tatizo umesahau ile ishu ya Degea siku ya mwisho wa usajili nakukumbusha Madrid ni baba lao kwenye magumashi ya usajili.
walijua na dagea watapata kisenge2 km ronaldo,beckham na heinzMI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app
😛 😛 😛 😛 😛 hili povu babu kubwa! Makaku hamna kitu hapo, mmenunua tembooooo! Mwili mkuuuuubwa akili nukta 😎 😎 😎 😎 😎Kama hujaachwa na mmeo basi utakuwa umekalia kitu chenye ncha kali!
Makaku ni kilaza, acheni Kumzingua martial 😎 😎 😎Naona leo morinho hajawapanga game moja martial na lukaku nahisi ni kutokana na game iliyopita martial kuwa mbinafsi kwa lukaku kwa kutompatia pass
Januzaj yupo wapi?? Hatujasahau sifa mlizompamba ujueee! New christian Ronaldo 😛 😛 😛Pereira akipata nafasi msimu ujao atastaajabisha watu.
Shangaaa mwenyewe wanacheza na wavua migebuka wa uvinza kigoma nao wanaona wanacheza na timu ya maana!!!Kweli nyie watu ni losers yaani mnafurahia kuifunga Salt Lake goli 1 tofauti
Na msimu huu hambebi chohote
Morata amewakataa wakata mkaa wa mtaa wa 7 😛 😛 😛Hamjalikataa Bali limewakataa nyinyi maana ofa tuliyopeleka na nyinyi ni sawa so usijipe credit eti mlimkataa na wakati alowakataa nyinyi
Perez sio mjinga kiasi hicho amuuze dogo morata kwa litimu liloshika namba 7 kwenye ligi!MI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Na de gea wakimtaka wanambeba hakuna wakuwazuia! 😛 😛 😛 😛nani kakuambia Madrid wanawahitaji mashabiki wa Utd?punguza hasira Lukaku ni bora kuliko Morata (nimewanukuu) tatizo umesahau ile ishu ya Degea siku ya mwisho wa usajili nakukumbusha Madrid ni baba lao kwenye magumashi ya usajili.
Mshabiki maandazi! UpopomaMI NAONA UHUSIANO WE2 NA MADRID UNAKUFA AF CZAN KAMA NTAONA SHABIKI WA MAN U BADO ANAJIBEMBELEZA KWA MADRID WAPUUZI WANAOGOMA HATA KUTUPA WACHEZAJI WAO
Sent using Jamii Forums mobile app
Inategemeana moyo wake uko wapi kwa sasa!Marco Verratti is now the client of Mino Raiola,he also represent Pogba,Lukaku,Ibrahimovic & Mikhtaryan