Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Herrera reveals how he will keep de Gea at Manchester United

He’s happy and I know this is going to sound repetitive because I always say the same but David is one of the few keepers who wins you points, he said.
I’m going to do everything I can to make sure he stays.
 
Kesho ndio itakuwa hatma ya saga la usajili wa Perisic,Kesho Inter wana safari ya kwenda pre-season China kama makubaliano hayatafikiwa Perisic akienda China Mourinho amemwambia Woodward aachane nae na kuanza mazungumzo na target nyingine kama alivyofanya kwa Morata
 
Perisic mwenyewe anataka kuja United na juzi aliomba ruhusa arudi kwao Croatia kutibiwa meno kwa specialist wake ila inasemekana ni ujanja anautumia ili kuhakikisha usajili wake unakamilika kabla ya safari ya China
4f0fc61d53e213e2c7270611eed8830b.jpg
 
Inter Milan wako kwenye mazungumzo kumsajili winga Keita Balde toka Lazio inasemekana ndio ataenda kuziba pengo la Perisic
 
Kesho ndio itakuwa hatma ya saga la usajili wa Perisic,Kesho Inter wana safari ya kwenda pre-season China kama makubaliano hayatafikiwa Perisic akienda China Mourinho amemwambia Woodward aachane nae na kuanza mazungumzo na target nyingine kama alivyofanya kwa Morata
Nahisi na zile namba 7 na 10 zilizoachwa mojawapo inaweza kuwa yake.
 
Game kama kawaida itakuwa live kupitia MUTV kwa wale wenye mobdro tutacheki mubashala ifikapo saa kumi na moja kamili alfajiri.

Be patient. The lessons you learn today will benefit you tomorrow.
 
Hodi humu wakata mkaa??

Hivi huyu romeru makapu ana magoli mangapi mpaka saaasa aliyofunga kwenye mazoezi Huko marekani??????

Pogba wa tz nchi imekushinda!
 
Watu kama hawa ni wa kutulia tu wapite bila kuwajibu comment zao nahisi watakaa kimya.
Kweli kabisa, ila wanakera mi huwa sijui ushabiki wa kukashifu wachezaji wakati kuna siku huyo mchezaji unaemtusi anaweza hamia timu yako. Ndio maana mtu akikashfu mchezaji wa timu yoyote huwa sijisikii vizuri kabisa! Wachezaji wenyewe wanaheshimiana why not sisi wapiga vuvuzela
 
Back
Top Bottom