Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Hata Pogba hakuaminiwa na Utd akaenda zake alivyong'aa tu wale ambao hawakumuamini wakamfuata kwa pesa nyingi na akasema anaipenda Utd,kwa mfano wako wa Lukaku unatuaminisha hata Pogba haipendi Utd kwa kua haikumuamini.
Nimefikiria tu kibwegebwege
Pogba sio hakuaminiwa,hakuwa tu mvumilivu aliambiwa na fergie yeye ana umri mdogo so atacheza tu,na hata hakupenda scholes alivyorudishwa kutoka kustaafu na yeye yupo. Swala la pogba ni tofauti na la Lukaku mkuu.
 
Hata Pogba hakuaminiwa na Utd akaenda zake alivyong'aa tu wale ambao hawakumuamini wakamfuata kwa pesa nyingi na akasema anaipenda Utd,kwa mfano wako wa Lukaku unatuaminisha hata Pogba haipendi Utd kwa kua haikumuamini.
Nimefikiria tu kibwegebwege
Kwa kuwa n kibwegebwege nakausha
 
Inavoonekana dili imegoma. Ila muda bado. Sema mimi namlilia sana Eric Dier. Japo leo nimeona kama Marco Verratti nae yuko kwenye radar ila huyo kumpata ni ngumu sana kuliko Dier.
 
Pale kati tunahitaji raia wa ukweli. Mbele Martial Rashford Miki Lukaku Mata Lingard can score alot of goals. Ila tunatakiwa kumpata mtu mwenye macho ya panzi uko kwenye msitu wa adui lakini anakuona na kukupenyezea pass. Mtu mwenye makengeza ambaye pass zake hakuna anayetabiri inaenda kwa nani. Kama Carrick tuu mapasi yake.
 
Pale kati tunahitaji raia wa ukweli. Mbele Martial Rashford Miki Lukaku Mata Lingard can score alot of goals. Ila tunatakiwa kumpata mtu mwenye macho ya panzi uko kwenye msitu wa adui lakini anakuona na kukupenyezea pass. Mtu mwenye makengeza ambaye pass zake hakuna anayetabiri inaenda kwa nani. Kama Carrick tuu mapasi yake.
Carrick kilaza
 
Back
Top Bottom