Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Lukaku aligoma kwenda chelsea full stop. Wote tuliweka dau sawa akachagua timu kubwa uingereza,yenye mashabiki wazuri na kiwanja kizuri sio maneno yangu ni ya Lukaku mwenyewe. Iwe ni michezo ya kijinga ya Mou au la uamuzi wa mwisho alikua nao Lukaku.

Lukaku ni Mchelsea, na anaipenda timu yake kuliko chochote, Man Mmefika dau kubwa pamoja na Rooney ndani na Everton walikuwa hawana jinsi,
Kama kawa ya Mou, lazima awachanganye wachezaji

Hingereni lakini
 
Nimemuelewa sana.
a8b38bc68ed11f0384bec87b3d20029f.jpg
 
Lukaku ni Mchelsea, na anaipenda timu yake kuliko chochote, Man Mmefika dau kubwa pamoja na Rooney ndani na Everton walikuwa hawana jinsi,
Kama kawa ya Mou, lazima awachanganye wachezaji

Hingereni lakini
Lukaku hajaanzia mpira wake Chelsea, ila Chelsea kwake ndo timu ya kwanza iliyoshindwa kumuanini,utapendaje timu iliyoshindwa kukuamini? Ghafla unapoanza kung'aa ndo warudi eti wanakutaka tena. Na swala la hela wote tulipeleka dau sawa mezani.
 
Ivan Perisic has been named in Inter Milan's 28-man squad for their summer tour, despite being linked heavily with a move to Man United.
 
Lukaku hajaanzia mpira wake Chelsea, ila Chelsea kwake ndo timu ya kwanza iliyoshindwa kumuanini,utapendaje timu iliyoshindwa kukuamini? Ghafla unapoanza kung'aa ndo warudi eti wanakutaka tena. Na swala la hela wote tulipeleka dau sawa mezani.

Sio Chelsea walioshindwa kumwamini, bali MOURINHO ndio alishindwa kumwamini, ni kama ilivyokuwa kwa Mata, Mata alikuwa mchezaji bora wa Chelsea kwa misimu miwili, lakini Mourinho alimuona kuwa hafai akamtosa
Sasa Mouronho mnae, Mata mnaye na Lukaku mnae, ngoja tuone
 
Sio Chelsea walioshindwa kumwamini, bali MOURINHO ndio alishindwa kumwamini, ni kama ilivyokuwa kwa Mata, Mata alikuwa mchezaji bora wa Chelsea kwa misimu miwili, lakini Mourinho alimuona kuwa hafai akamtosa
Sasa Mouronho mnae, Mata mnaye na Lukaku mnae, ngoja tuone
Tajiri wenu Roman ananguvu sana kwenye usajili wa wachezaji kuliko mamanager. So usishangae mchezaji kutokua na mahusiano mazuri na kocha. Kocha anataka huyu, Roman anataka huyu we unategemea nini?
 
Tajiri wenu Roman ananguvu sana kwenye usajili wa wachezaji kuliko mamanager. So usishangae mchezaji kutokua na mahusiano mazuri na kocha. Kocha anataka huyu, Roman anataka huyu we unategemea nini?

Shida ya Lukaku, Mata, Hazard ilikiwa ni ya Mourinho
 
Shida ya Lukaku, Mata, Hazard ilikiwa ni ya Mourinho
Unachosahau au usichojua ni kwamba Man U as a club has a Playground culture, Moyes na Vandagaa walishindwa kuadopt to the culture.

Mourinho alielezwa hilo na alipewa checklist aelezee ni namna gani ataweza adopt, alielezwa pia ni kwanini Management inadhani hawezi kufit kwenye hiyo culture kutokana na style yake

Inasemekana Mourinho aliandika a 60 page presentation kuelezea, sio namna anavyofit bali namna atakavyobadirika ili ku adopt.


Hivi Mourinho huyu wa sasa sio yule wa Jana.
 
Unachosahau au usichojua ni kwamba Man U as a club has a Playground culture, Moyes na Vandagaa walishindwa kuadopt to the culture.

Mourinho alielezwa hilo na alipewa checklist aelezee ni namna gani ataweza adopt, alielezwa pia ni kwanini Management inadhani hawezi kufit kwenye hiyo culture kutokana na style yake

Inasemekana Mourinho aliandika a 60 page presentation kuelezea, sio namna anavyofit bali namna atakavyobadirika ili ku adopt.


Hivi Mourinho huyu wa sasa sio yule wa Jana.

Kweli kabisa mkuu, Mourinho huyu wa sasa sio yule domokaya wa pale darajani, jamaa kawa so decent.
Mwanzoni alipokuja United nilikuwa mmoja ya maFans ambao hatukupendezwa na ujio wake tukijua ataibaidilisha club na kuwa kama Chesi, ila naona yeye kachenji in a very good way.
He is going to make our club great again. Can't wait to see the phrase "HATUSHIKIKI" again at the top of the post as it was before.
 
Lukaku hajaanzia mpira wake Chelsea, ila Chelsea kwake ndo timu ya kwanza iliyoshindwa kumuanini,utapendaje timu iliyoshindwa kukuamini? Ghafla unapoanza kung'aa ndo warudi eti wanakutaka tena. Na swala la hela wote tulipeleka dau sawa mezani.

Hata Pogba hakuaminiwa na Utd akaenda zake alivyong'aa tu wale ambao hawakumuamini wakamfuata kwa pesa nyingi na akasema anaipenda Utd,kwa mfano wako wa Lukaku unatuaminisha hata Pogba haipendi Utd kwa kua haikumuamini.
Nimefikiria tu kibwegebwege
 
Kweli kabisa mkuu, Mourinho huyu wa sasa sio yule domokaya wa pale darajani, jamaa kawa so decent.
Mwanzoni alipokuja United nilikuwa mmoja ya maFans ambao hatukupendezwa na ujio wake tukijua ataibaidilisha club na kuwa kama Chesi, ila naona yeye kachenji in a very good way.
He is going to make our club great again. Can't wait to see the phrase "HATUSHIKIKI" again at the top of the post as it was before.
na alichonifurahisha zaidi ni kukubali united ni kuliko yeye..... kule chelsea alijiona yeye ni mkubwa kuliko club

sent from my iphone 7 nimeinunua SAPNA pale POSTA
 
Kama ulicheki game ya Leo goli la kwanza tulilofungwa ni makosa ya Jones na tatizo lake ni lile lile la kutokuwa aggressive anapobaki man to man na striker. Tumefungwa goli rahisi sana. Sasa hivi tunawachezaji wa kiwango cha dunia wanaoweza kucheza Nafasi ya ulinzi; Rojo, Bailly, Linderholf, Tuanzebe... Sioni sababu za kuendelea kuwashikilia Jones na Smalling. Ni muda waende kutafuta changamoto mpya kwingine.


Andreis Pereira.
Kama kuna mchezaji pale Manchester tunapaswa kumuangalia kwa jicho la tatu ni huyu kijana...



Sent From My Nokia Ya Tochi
Jones kimpira ashazeeka mno, ingekuwa baily yule striker asingepita kishamba vile.
 
Back
Top Bottom