permanides
JF-Expert Member
- May 18, 2013
- 12,328
- 15,036
Mkuu hii kauli yako inajichanganya, kama unakiri wachezaji wamecheza vizuri hakika unakiri ni wazuri.Tumeshinda kwa sababu tumefuata tactics za Mou siyo kwa uwezo wa wachezaji.Ila leo Man U wamepiga mpira hatarii
